Rais obama azomewa.

Wengine wanasema Obama kazomewa kwa vile ni "mweusi" kwa hiyo kulikuwa na ka ubaguzi.
 
kama ni kuzomea huenda pia walikuwa wanaanagalia zaid imani yao - au ya jumuia yao ikoje kuhusu suala hilo. hii naweka pembeni kuwa wao ni wanajumuia ya chuo kikuu - na ambao wanaweza kuwa wanatoka din tofaut

hebu kumbuka hapa tz rais mstaafu alhaj ali hassan mwinyi alishambuliwa mwilini alipoongelea suala la kondom kwenye shughuli ya kiislam. kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom