Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,033
- 9,918
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa wataalamu wa lugha ya Kiswahili kutumia taaluma yao.
Amewaambia wataalamu hao wahakikishe sheria na sera za serikali zinakuwa katika lugha ya kiswahili ili kuwazesha wananchi kuzifahamu vyema.
Hali ilivyo hivi sasa baadhi ya sera na sheria zimeandikwa kwa lugha ya Kiingereza.
Amewaambia wataalamu hao wahakikishe sheria na sera za serikali zinakuwa katika lugha ya kiswahili ili kuwazesha wananchi kuzifahamu vyema.
Hali ilivyo hivi sasa baadhi ya sera na sheria zimeandikwa kwa lugha ya Kiingereza.