Kalewa lewaView attachment 365550 View attachment 365551 View attachment 365552
Rais Mseveni aliamua kusimamisha msafara wake na kushuka ili aweze kupokea simu.Hali hiyo ikafanya wasaidizi wake wampe na kiti kabisa ili asikilize simu yake kwa raha na amani bila bughuza.Simu hiyo inaonekana ilikuwa muhimu sana kiasi Rais hakutaka mazungumzo yake kusikilizwa na wasaidizi wake wala walinzi wakec
Jeshi lake lina askari sita?Jamaa msafara wake ni wa jeshi zima
Kwahiyo wanaoendesha servers za kutunzia kumbukumbu za mawasiliano hawajui lolote kuhusu maongezi yake?View attachment 365550 View attachment 365551 View attachment 365552
Rais Mseveni aliamua kusimamisha msafara wake na kushuka ili aweze kupokea simu.Hali hiyo ikafanya wasaidizi wake wampe na kiti kabisa ili asikilize simu yake kwa raha na amani bila bughuza.Simu hiyo inaonekana ilikuwa muhimu sana kiasi Rais hakutaka mazungumzo yake kusikilizwa na wasaidizi wake wala walinzi wakec
Mpaka lori kwenye mfasara, huyu jamaa ni shida. Nasikia anatembea na poti la kunyea kama mtoto kwani haamini choo nje kile cha nyumbani au ofisini kwakeJamaa msafara wake ni wa jeshi zima