Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Anataka kumu-galang mtu, hakutaka aide wake wasikie mpango wakeKwani asingeamua kupiga picha mngejua yaliyojiri? Unadhani lengo lake ni nini?
Anataka kumu-galang mtu, hakutaka aide wake wasikie mpango wakeKwani asingeamua kupiga picha mngejua yaliyojiri? Unadhani lengo lake ni nini?
Hawa ndio wale wakikosa madaraka wanatembelewa na kila aina ya magonjwa nyemelezi!!!
Africa kweli ni black continent
natamani ningekuwa mimi
Mwenzenu anapima viwanja na maheka ya mashamba kwa mustakabli wa familia yake..... nyie mnamnshangaa!!
inaitwa M7 show.
show hizi zitaenea throughout EAC with the exception of Kenya kwani wenzetu pale walau wana "bingo" (katiba ya wananchi).
Nafasi yake ni"mtu aliyefanana naye"amemuajiri katika nafasi gani?
Atakuwa alikuwa akiongea na bi mdogo (Mchepuko).Bi mdogo ana hadhi yake ukitaka kuongea naye ni siri ya wawili.Chezea mchepuko
Zone ya wajinga 90 % ya watu wa East Africa ni mazombi with exception of Kenya
Watu wa kaskazini mnachutama mkisikia kenya...wote mambululakuna kaukweli fulani. angalia hata kwa upande wa Tanzania...mikoa yetu inayopakana na KE ndiko watu wako more conscious na umuhimu wa kuwaondoa from their perch hawa wakoloni weusi.