MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,982
- Thread starter
- #101
Mkuu, Naomba unifafanulie vizuri. Rais Museveni anahaha kunusuru mambo gani na kwa nini anusuru?Hapa tunamlaumu bure Yoweri Kaguta, huyu jamaa yetu maji ya shingo yamemfika. Uchimbaji wa mafuta Uganda unahusisha makampuni makubwa mawili TULLOW na TOTAL kiuhalisia TOTAL ndio mwenye mtaji mkubwa hivyo ana turufu. TOTAL ameamua kupitisha bomba Tanzania, Na TULLOW ameonyesha interest ya uchimbaji mafuta Kenya. Hapo Bw. Yoweri Kaguta anahaha kunusuru mambo, tumuonee huruma jamani!!!!!!