Tujenge tu bomba, Museveni akitukubali tufanye naye business, akitukataa tunalibadilishia matumizi liwe bomba la maji, lisaidie kusambaza maji vijijini
Wala siyo ya Maji tu! Gesi je? Situnaweza wauzia Uganda,Burundi,Rwanda?.
Serikali iweke offer nzuri mezani na Uganda! Tuna nafasi kubwa na Kenya hawawezi kushindana na sisi!