chige,
..kama Ethiopia na Kenya wameweza kupata pesa za kujenga reli mimi sioni kwanini Tz tunashindwa.
..mimi nadhani we have to think outside the box jinsi gani tutajenga reli zetu. tukisubiri wawekezaji toka western world tutasubiri sana kama alivyosema Meles Zenawi[r.i.p].
..tunahitaji miradi mikubwa ya miundombinu ambayo itakuwa ni fahari kwa nchi na italeta multiplier effect ktk sekta nyingi za uchumi hapa Tz.
..kama Ethiopia na Kenya wameweza kupata pesa za kujenga reli mimi sioni kwanini Tz tunashindwa.
..mimi nadhani we have to think outside the box jinsi gani tutajenga reli zetu. tukisubiri wawekezaji toka western world tutasubiri sana kama alivyosema Meles Zenawi[r.i.p].
..tunahitaji miradi mikubwa ya miundombinu ambayo itakuwa ni fahari kwa nchi na italeta multiplier effect ktk sekta nyingi za uchumi hapa Tz.