RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Hamna lolote....sasa mpeni nchi muone.....mi kwangu wote hawafai ndio maana sintopiga kura....kwa nje ni rahisi kuropoka kuwa utafanya nii ukiingia magogoni....ila ukishaingia mambo yote ni tofauti.....watch out!
mwenye akili isiyo mgando hawezi waza kama wewe! umejuaje akiingia ikulu atavurunda? au unadhani wote km ccm? jaribu tuone yupi bora 2015 si kuna uchaguzi tena? ni maamuzi tuu!