johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Nyerere aliamini tabia ya Mtu akiwa na miaka 12-14 ndio itakuwa tabia yake halisi maishani
Yaani akiwa Mdokozi basi Huyo ni Fisadi au Mwizi mtarajiwa Ukubwani
Akiwa anapenda kufundisha basi Huyo ni Mwalimu au Mtumishi wa Mungu mtarajiwa nk...nk
Hata sasa twaweza kuwapima hawa Wateule Wetu ๐๐
Yaani akiwa Mdokozi basi Huyo ni Fisadi au Mwizi mtarajiwa Ukubwani
Akiwa anapenda kufundisha basi Huyo ni Mwalimu au Mtumishi wa Mungu mtarajiwa nk...nk
Hata sasa twaweza kuwapima hawa Wateule Wetu ๐๐