Admin1988
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,603
- 1,835
Wazo zuriRais Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
Wazo zuriRais Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
Mnataka kuendeleza kizazi cha wabambika kesi!Rais Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
hakuna hoja hapa yaani mipango ya jiwe na mkewe alikua anaijua are you mad ,mke mwenyewe alikua anachezea mingumi daily , na ukitaka kuamini hilo ona anavyonawiri baada ya lile balaa kufaNi mawazo ya kimaskini sana kuwaza kuwa inapendekezwa apewe ubunge ili kumsaidia kujikimu kifedha la hasha ! Hana tatizo la kiu humi kla bado mchango wake kwenye hili Taifa unahitajika sana! Hasa kwa kuwa anafahamu mipango alihokuwa nayo JPM ya kuliendeleza Taifa letu.
Akili fupi kama miguu ya chupRais Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
Chupi ina miguu?!Akili fupi kama miguu ya chup
Pesa anazopewa zinamtosha mama wa watu hana makuu,asije chafuliwa kwenye siasaRais Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.