Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Rais Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
Eeeh!!!eh bhana eeehMama Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
.Aliyekuzaa ana kifuu ama kopo
Tumfute mama majonzi na tumpongeze kwa kuvumilia kukaa na chatuKwahiyo ubunge ni zawadi kwa wajane?
Dah. Kwanini mnakosa hekima kabisa wakuu. Mbona ni hekima ndogo Sana tu inakuepusha na haya?Aliyekuzaa ana kifuu ama kopo
Mkuu achana nae anatumia lugha ya ukakasi najua muda huu anajuta. Tumsamehe tuWas this necessary?
Hakukuwa njia nyingine yoyote kupingana nae bila kutaja hiki kiungo?
Nimepotoka unisameheDah. Kwanini mnakosa hekima kabisa wakuu. Mbona ni hekima ndogo Sana tu inakuepusha na haya?
Kipi hicho nimetajaWas this necessary?
Hakukuwa njia nyingine yoyote kupingana nae bila kutaja hiki kiungo?
Hivi Mama Salma Kikwete kishawahi changia chochote bungeni?Mama Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
Mama Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.
Tumfute mama majonzi na tumpongeze kwa kuvumilia kukaa na chatu
Hana haja ya huo ubunge. Sidhani kama ni mroho kama Salma Kikwete au Janet Museveni. Acheni huruma za kifisadi. Kazi ya kutunza familia yake inamtosha hata malipo ya mumewe ukiachia mbali miradi ya familia. Muache aomboleze kifo cha mumewe.Mama Samia ikikupendeza sana mpatie Mwalimu Janeth Magufuli Ubunge wa kuteuliwa kama alivyofanya Hayati Magufuli kwa Salma Kikwete, ambaye nae alikuwa mwalimu.