johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Mama Janeth Magufuli amemshukuru Rais Samia kwa kuwaunga mkono na kujumuika nao katika misa ya Kumbukizi la hayati Magufuli.
Mama Janeth amesema Rais Samia alituma wawakilishi Wawili mmoja akiwa ni binti yake na mwingine Waziiri wa Ulinzi Mh Bashungwa.
Kadhalika mama Janeth amewashukuru wote wenye Mapenzi mema waliojumuika nao kwenye Kumbukizi la hayati Magufuli wakiwemo mababa Askofu.
Sabato Njema!
Mama Janeth amesema Rais Samia alituma wawakilishi Wawili mmoja akiwa ni binti yake na mwingine Waziiri wa Ulinzi Mh Bashungwa.
Kadhalika mama Janeth amewashukuru wote wenye Mapenzi mema waliojumuika nao kwenye Kumbukizi la hayati Magufuli wakiwemo mababa Askofu.
Sabato Njema!