Ukiwa na mtazamo kama huu ni dhahiri unahitaji miaka kama sitini zaidi kufikia ilipo Uganda au miaka 70 kufikia ilipo Kenya na karne kama saba kufikia ilipo Singapore.
Hivi ni kweli kwamba 'DJ' ndiye alikuwa mwenyekiti au mjumbe wa baraza la mawaziri lililopitisha uamuzi wa kujenga nyumba za mawaziri Mikocheni pamoja na headquarters za mawizara yote!?
Je, ni 'dj' aliyesimamia ununuzi wa uniforms hewa na kulipa billion 60, wizi wa makontena na flow meter bandarini!?
Na ni 'dj' aliyeahidi 'kuwalinda' ...(wino wa kuandika umeniishia)