Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,588
..uzuri wa mitandao ya kijamii ni UHURU wa kutoa mawazo.
..kuna kipindi Magufuli alikuwa anakubalika sana ktk mitandao ya kijamii.
..kukubalika huko kunaelekea kupungua sasa hivi.
..sasa anachotakiwa kukifanya ni kujisaili kuelewa ni wapi amepungukiwa na kupafanyia marekebisho.
..hatakiwi kuichukulia mitandao ya kijamii kama MAADUI, WAHUJUMU, au WASALITI.
..badala yake aichukulie mitandao kama TOCHI inayomulika maeneo yanayohitaji marekebisho kutoka kwa watawala.
Kwa mtu aliye kulia kwenye RTD, Daily News na Uhuru kama Magufuli, mitandani kwake ni wembe. Mitandao ya leo ni kama moto wa mstituni unoongezeka ukubwa kadidiri upepo unvyo vuma, tofauti na magazeti au redio ambavyo vinaweza kudhibitiwa haraka zaidi kuliko mitandao. Mitandao ni pressure sio hapa Tanzania pekee, hata nchi zilizoendelea kuna watu wazito na maarufu wameshindwa na pressure ya mitandao wameamuwa kujitoa kabisa. Nchi kama china inaonekana katili na haitowi uhuru wa kujieleza, lakini siku zijazo utasikiwa china imeweza kuokoa kizazi out of Internet stress huku nchi za mgharibi wameshindwa kuokwa watu wao. Ni kama mikopo nafuu kwa nchi za magharibi miaka ya 80-90, leo hii watu wa hizo nchi wanalia na wengine kujiuwa kwa kushindwa kulipa madeni.