Ni lini tutaacha Kumsimanga Hayati Magufuli na kumuonesha kuwa hakuwa Rais mpenda Watanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,694
109,130
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania
Mpaka jogoo awike mara tatu ndipo watakapo anza kulia na kumuomba radhi japo itakuwa too late to catch the bus🤐... Kiufupi kwa hili lakuwafanya watu wamseme vibaya huyu Mzee alie buni wazo hili ana akili sana maana majibu yatakuwa mazuri sana. Heri walio ona kesho 🤐📜
 
Wanaokukosoa ndio wakupendao.. Ogopa kusifiwa kwa kila jambo
Kinachonishangaza kuna Mtu ndiyo alikuwa Msaidizi wake na hata 85% ya Maamuzi nae alihusika ila leo Magufuli hayuko tena nasi duniani amejitoa na sasa Kinafiki / Kiunafiki anataka Kuwadaa Watanzania Kuonyesha kuwa Yeye hakuwa Mtu mbaya.
 
Kinachonishangaza kuna Mtu ndiyo alikuwa Msaidizi wake na hata 85% ya Maamuzi nae alihusika ila leo Magufuli hayuko tena nasi duniani amejitoa na sasa Kinafiki / Kiunafiki anataka Kuwadaa Watanzania Kuonyesha kuwa Yeye hakuwa Mtu mbaya.
hamna lolote UNAFIKI mtupu! mke wako anakusifia kuwa unamridhisha, ukitoka anakukandia kwa michepuko kwamba wewe ni mwanaume suruali! ndizo tabia za WANAWAKE wote
 
Sure
Hata roma
Nyimbo karibia yote anahangaika na marehemu
Mbona haimbi kile alichofanyiwa na Wanamume kule Mahaba Beach Ununio alikotekewa na kurejea ( Kuokolewa ) huku Macho yake yakiwa yamelegea mno?
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
Na wewe usituchoshe, mtu wako alivuruga Kila kitu..

Ni vitu vingi vikitajwa hapa utashangaa mfano makato ya Bodi Mikopo ilikuwa 10% ila Mwendazake aliongeza Hadi 15%

Mwisho huyo bwana wenu aliwapenda Watzn kiaje? Kwa hicho unachoita miradi mikubwa?

Wewe Kwa akili Yako unayoita kubwa hicho ki Sgr kitakuwa na faida ipi zaidi ya kuleta hasara Nchini?
 
Halafu wanaomsinmaga hadharani ccm wenzie aliwabana sana hawakuwa na pumzi hawajazoea kuminywa wanataka vya kunyonga
hasimangwi na chama, anasimangwa na wanachama waliojifanya kumuunga mkono. Petro alimkataa yesu kwamba hamjuwi kumbe anajua hadi ukoo wake!
 
Mpaka jogoo awike mara tatu ndipo watakapo anza kulia na kumuomba radhi japo itakuwa too late to catch the bus🤐... Kiufupi kwa hili lakuwafanya watu wamseme vibaya huyu Mzee alie buni wazo hili ana akili sana maana majibu yatakuwa mazuri sana. Heri walio ona kesho 🤐📜
Endelea kujifariji
 
Na wewe usituchoshe, mtu wako alivuruga Kila kitu..

Ni vitu vingi vikitajwa hapa utashangaa mfano makato ya Bodi Mikopo ilikuwa 10% ila Mwendazake aliongeza Hadi 15%
usiangalie maslahi ya mtu mmoja, tanzania ina watu zaidi ya 50M (watanzania) wewe wataka kufurahisha mchezaji na kumsahau mchezeshaji
 
Nawe pia endelea Kumfariji mnywa Wine wako hadi Kumlevya na Kulala Kochini.
Ukitafuta kupendwa na kulazimisha kupendwa utaumia sana..

Ni kunyoosha maelezo na kutembea mbele..

Mwisho kwani Kuna shida gani kuchukua maoni ya awamu ya 4 na kuyakandia ya awamu ya 5? Umeshasahau kwamba ndivyo mlikuwa mnafanya?
Na Bado utaumia sana Kuna mengi ya kuyarejesha kwenye mstari wake wa awali..
 
Ukitafutwa kupendwa na kulazimisha kupendwa utamumia sana..

Ni kunyoosha maelezo na kutembea mbele..

Mwisho kwani Kuna shida gani kuchukua maoni ya awamu ya 4 na kuyakandia ya awamu ya 5? Umeshasahau kwamba ndivyo mlikuwa mnafanya?
Na Bado utaumia sana Kuna mengi ya kuyarejesha kwenye mstari wake wa awali..
Ok Mental Case.
 
Back
Top Bottom