Mahusiano gan ya kikanda yamevunjwa?Kwa nini kila azungumzapo yeye ni kulialia tunahujumiwa, hatupendwi, mabeberu wanatuonea nk nk?
Hivi tuna nini sisi hapa duniani kilicho cha kipekee hadi tushambuliwe kiasi hicho?
Tumeharibu biashara wenyewe, tumeua kilimo cha biashara chenye kuweza kubadili maisha ya watu wetu wenyewe na tumevunja mahusiano ya kijamii na kikanda kwa ubaguzi tulio anzisha wenyewe halafu tunatupia lawama za kilaghai kwa wengine?
CCM mtaacha lini usanii?
Sent using Jamii Forums mobile app