New City Project
Member
- Dec 10, 2019
- 82
- 37
Magufuli anaongoza kutuuwa kwa kimawazo kila nisikiapo ahadi zake za miradi ya maendeleo unaweza usifikiri kabisa... Check maisha ya watu wangapi yatabadilika kupitia utekelezaji wa Hotuba hii ya JPM hakika itauwa maisha duni ya watu wengi Sana..Sasa Watanzania wengi ukizunguka mikoani wanamuelewa sana Mh Rais Magufuli,Wapiga deal wachache ndio wanaopata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app