wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Hao wanaokufa hovyo hapo mloganzila watakuwa vyama pinzani. Sie wachama chetu mbona tunapona kabisa na kupata huduma nzuri.
cc USSR,State Agent, Mgonjwa Mtambuka.
Umoja wetu ndiyo nguvu yetu dhidi ya watawala kuwafanya wawajibike kutatua changamoto zetu.
Huo uongozi wa hapo sijui unafanya nini, wizara ya afya kama haipo pia.
Sio kila jambo hadi Rais afike kulitatua. Yeye ameshazungumza kwa ujumla watu wachape.
Tutamsubiri tu hadi afike yeye huku watu wakiendelea kufa,maana hatuna viongozi isipokuwa yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
cc USSR,State Agent, Mgonjwa Mtambuka.
Umoja wetu ndiyo nguvu yetu dhidi ya watawala kuwafanya wawajibike kutatua changamoto zetu.
Huo uongozi wa hapo sijui unafanya nini, wizara ya afya kama haipo pia.
Sio kila jambo hadi Rais afike kulitatua. Yeye ameshazungumza kwa ujumla watu wachape.
Tutamsubiri tu hadi afike yeye huku watu wakiendelea kufa,maana hatuna viongozi isipokuwa yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app