Wewe ulisema mimi Sikai kibamba ,mnyika alishatelekeza jimbo mwaka huu ndio mwisho wake
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua Leo hii
Mbn watu washalalamika sana lkn hakuna hatua iliyochukuliwa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujielewi chadema hawana hata makao makuu ndio wajenge hospital
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh Ummy Mwalimu ni dawa yao tosha. Atawatokea Kama juice ya pili pili. Vuta pumzi atatuahapo manne asubuhi na mapema
Umelewa pombe za asubuhi ,tunazungumzuia mlonganzila unaleta mambo ya ujenzi wa zahanati umelewa sana wewe
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya daktari sio kuzuia kifo. Kazi yake ni kutibu, whether mgonjwa atapona au laa ilo analijua Mungu aliyetupa uhai.
Suala la vifo 11 Mloganzila kwa usiku mmoja sio ajabu sana. Naamini hata ukienda MNH ukachukua records za siku nzima ya jana kwa idara zote utakuta vifo zaidi ya kumi na moja.
Suala la mgonjwa wako kufa, pole kwanza kwa kufiwa. Lakini ungeuliza zaidi kuhusu sababu ya kifo. Si kweli kwamba ajali ya mguu haiwezi kumuua mtu. Unajua average blood loss of a femur? Inaeza muua mtu hasa kama alichelewa kupata blood replacement.
Wewe huwa unasema huku chadema tunaongozwa na DJ yaani disco joker naona Ccm yenye Dr Leo utakuwa umegundua kumbe hao Dr ni Disco ReprensentertativeHujielewi chadema hawana hata makao makuu ndio wajenge hospital
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nikupongeze kwa kuweza kuifanya hospitali hii kuwa na hadhi ya kimataifa in terms of infrastructure and human resources ila nikutaarifu tu kuwa wananchi wamepabatiza jina kuwa VINGUNGUTI yaani ni kama machinjio ya mifugo kule vingunguti inaima!
Ni kweli kuwa hospital ya Mlonganzila inapokea wangonjwa walioshindikana katika hospitali nyingine hapa nchini kwa maana ya rufaa ila hapa ni zaidi ya graveyards, mtu kutoka hai/kupona ni nadra sana.
Nikuombe tu pitia pale labda kuna vitu sisi wageni /wapitaji hatujui ila wewe unaweza kupata ukweli
NILICHOSHUHUDIA
Nilikwenda kumwongezea damu kaka yangu nikiwa katika foleni nikaambiwa niende ofisi za juu nichukue form; nikapanda lift hadi eneo husika huko nikakuta madaktari (wako bize na simu na story za simba na yanga wakiume walikuwa kama 4 hivi upande wa pili wa kike walikuwa kama 5 hivi) wote vi vijana wa mjini mjini hivi na viduku kibao. Nikaambiwa anayetoa form hayupo nisubiri mimi na wenzangu tukaelekezwa bench tukae tukiwa hapo akaja mama mtu mzima akawaita wale madaktari wakawa kama na kikao kidogo wakiwa wamesimama yule mama akaanza kusema tena kwa sauti akiwakaripia wale vijana kwa uzembe na kusema deaths zimezidi yaani usiku mmoja wamekufa watu wote wale watu kumi na mmoja sio normal. Wakati anafoka daktari mmoja akajibu kuwa ni kweli uzembe umezidi wakaanza kurushiana maneno huku sisi tukishangaa. Akawa anawaonya kuhusu kutoroka na kwenda mtaani usiku na kuwaachia wagonjwa manesi. Inauma hii ni live nasikia tena kutoka kwa madk wenyewe.
Baadae akaja nurse akatuita akatupa form, ndugu yangu alikuwa amepata ajali ya mguu hivyo sikuwa na hofu sana na alikuwa amekaa pale siku tano akifanyiwa stretching maana aliumia kifundo cha mguu ila cha kusikitisha alivyoingia chumba cha upasuaji hakutoka mzima. Inauma sana hii, mguu hadi kifo vipi ingekuwa moyo, kichwa au uzazi!
Usiombe kufika pale, usikubali kulazwa pale, Mlonganzila ni zaidi ya Mwananzila! Mh Rais pale kuna majipu sio mchezo kila mtu analia heri ubaki Mwananyamala, Temeke au Muhimbili sio Mlonganzila. Vijana wanajifunzia udaktari kwenye miili ya wapendwa wetu.
USSR
====
Soma pia:
Haya yanayosemwa kuhusu Hospitali ya Mloganzila ni kweli?
na
Mloganzila yakanusha juu ya taarifa za vifo vya wagonjwa
They don't care mkuu wako na utoto mwingi nikikumbuka yule Dada anawaonesha madk wenzake picha kwenye simu eti yule mchepuko alipigwa chini na jamaa huyu hapa ,wote wakarundikana kungalia picha na story zikaanzia hapo sisi tupo kwenye mstari tunasubili wao wanaoneshana picha za michepuko ,wapuuzi sana hata ndugu yangu kafa kwa uzembe tu
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Hindu mandal, Agha khan, Ibrahim haji charitable, Wewe bize na hospital yenye madaktari waliosomeshwa na Chadema
Acha unafiki sasa ndugu yako amekufa, Ulitaka afe nani kama sio ndugu yako?
Boss USSR Pole sana Mkuu kwa kadhia uliyopata.
Nakumbuka hata Utawala wa JK kuna Kashfa iliwahigi kutoka kuhusu Hospitali hii.
Mimi binafsi nashangaa, pamoja na Ukali wa Mh. Rais lakini Viongozi na Watumishi ni vichwa ngumu, Ufisadi ndio kwa kwenda mbele, madudu kila kona. Sijui ndio wanamkomoa au ndio wamekata tamaa na maisha.
Selfish tuu huyo kaguswa yeye ndo analalama.Mwambie arudi kwa mwarabu kariakooAisee.
Kichwa Chako kumbe huwa kinaamua kutulia wakati mwingine eehh! Safi.
Ila nakumbuka Ummy aliisifia hiyo Hosp. Last month.
Poleni sana.
Wewe ni lofa, kuna hospital ngapi za private mpaka unaenda mlongazila
Kumbe ni maskini wa kutupwa, unapiga matarumbeta kuhusu ccm kumbe mfukoni huna kitu
Zamani watu walikuwa wanaendelea na div four wakitegemea ku resit au kusakafia baadhi ya masomo ili waweze kufanya mtihani was form six .
Hivyo kuendelea kwake form five hapo ihungo hakuna maana kwamba alifaulu four.
Kuhusu ku feli au kufanikiwa maisha hakuhusiani na shule wapo watu wengi waliofanikiwa bila shule. Kwa juhudi zao na wengine kwa kuachiwa
Hospital ya Mloganzila haihudumii wakazi wa Kibamba tu so hata kama unaishi Songea unaweza kutibiwa hapo Mloganzila
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikwara yake ni kuficha udhaifu wake wa Uongozi anaamini akimwaga povu watu wataogopa sasa hivi wameshamjulia wanaharibu kisha wanamsifia kwisha habari yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndugu yako afe tu. Juzi mama yake Kabendera kafa na kabla hajafa aliomba sana Magufuli amsaidie, alimsikiliza? Yani kupelekea wasanii hela na mabegi ameweza ila kumsaidia yule mama mtu mzima tena kalia kabisa hadharani hajaweza. Hii nchi tushagawana ubinaadamu na kila mtu na upande wake....Mtakie safari njema huko aendako!Kwanza nikupongeze kwa kuweza kuifanya hospitali hii kuwa na hadhi ya kimataifa in terms of infrastructure and human resources ila nikutaarifu tu kuwa wananchi wamepabatiza jina kuwa VINGUNGUTI yaani ni kama machinjio ya mifugo kule vingunguti inaima!
Ni kweli kuwa hospital ya Mlonganzila inapokea wangonjwa walioshindikana katika hospitali nyingine hapa nchini kwa maana ya rufaa ila hapa ni zaidi ya graveyards, mtu kutoka hai/kupona ni nadra sana.
Nikuombe tu pitia pale labda kuna vitu sisi wageni /wapitaji hatujui ila wewe unaweza kupata ukweli
NILICHOSHUHUDIA
Nilikwenda kumwongezea damu kaka yangu nikiwa katika foleni nikaambiwa niende ofisi za juu nichukue form; nikapanda lift hadi eneo husika huko nikakuta madaktari (wako bize na simu na story za simba na yanga wakiume walikuwa kama 4 hivi upande wa pili wa kike walikuwa kama 5 hivi) wote vi vijana wa mjini mjini hivi na viduku kibao. Nikaambiwa anayetoa form hayupo nisubiri mimi na wenzangu tukaelekezwa bench tukae tukiwa hapo akaja mama mtu mzima akawaita wale madaktari wakawa kama na kikao kidogo wakiwa wamesimama yule mama akaanza kusema tena kwa sauti akiwakaripia wale vijana kwa uzembe na kusema deaths zimezidi yaani usiku mmoja wamekufa watu wote wale watu kumi na mmoja sio normal. Wakati anafoka daktari mmoja akajibu kuwa ni kweli uzembe umezidi wakaanza kurushiana maneno huku sisi tukishangaa. Akawa anawaonya kuhusu kutoroka na kwenda mtaani usiku na kuwaachia wagonjwa manesi. Inauma hii ni live nasikia tena kutoka kwa madk wenyewe.
Baadae akaja nurse akatuita akatupa form, ndugu yangu alikuwa amepata ajali ya mguu hivyo sikuwa na hofu sana na alikuwa amekaa pale siku tano akifanyiwa stretching maana aliumia kifundo cha mguu ila cha kusikitisha alivyoingia chumba cha upasuaji hakutoka mzima. Inauma sana hii, mguu hadi kifo vipi ingekuwa moyo, kichwa au uzazi!
Usiombe kufika pale, usikubali kulazwa pale, Mlonganzila ni zaidi ya Mwananzila! Mh Rais pale kuna majipu sio mchezo kila mtu analia heri ubaki Mwananyamala, Temeke au Muhimbili sio Mlonganzila. Vijana wanajifunzia udaktari kwenye miili ya wapendwa wetu.
USSR
====
Soma pia:
Haya yanayosemwa kuhusu Hospitali ya Mloganzila ni kweli?
na
Mloganzila yakanusha juu ya taarifa za vifo vya wagonjwa
Huyo ndugu yako afe tu. Juzi mama yake Kabendera kafa na kabla hajafa aliomba sana Magufuli amsaidie, alimsikiliza? Yani kupelekea wasanii hela na mabegi ameweza ila kumsaidia yule mama mtu mzima tena kalia kabisa hadharani hajaweza. Hii nchi tushagawana ubinaadamu na kila mtu na upande wake....Mtakie safari njema huko aendako!