Rais Magufuli, ukiwa unatoka Chato pitia Hospitali ya Mlonganzila iliyobatizwa Vingunguti

Nenda Hindu mandal, Agha khan, Ibrahim haji charitable, Wewe bize na hospital yenye madaktari waliosomeshwa na Chadema

Acha unafiki sasa ndugu yako amekufa, Ulitaka afe nani kama sio ndugu yako?
Umelewa pombe za asubuhi ,tunazungumzuia mlonganzila unaleta mambo ya ujenzi wa zahanati umelewa sana wewe

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga wengi huwa wanasemaga namna hii kwa kuhamisha tatizo kwa wengine
Kazi ya daktari sio kuzuia kifo. Kazi yake ni kutibu, whether mgonjwa atapona au laa ilo analijua Mungu aliyetupa uhai.

Suala la vifo 11 Mloganzila kwa usiku mmoja sio ajabu sana. Naamini hata ukienda MNH ukachukua records za siku nzima ya jana kwa idara zote utakuta vifo zaidi ya kumi na moja.

Suala la mgonjwa wako kufa, pole kwanza kwa kufiwa. Lakini ungeuliza zaidi kuhusu sababu ya kifo. Si kweli kwamba ajali ya mguu haiwezi kumuua mtu. Unajua average blood loss of a femur? Inaeza muua mtu hasa kama alichelewa kupata blood replacement.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia na endelea kusifia acha kulalama
Kwanza nikupongeze kwa kuweza kuifanya hospitali hii kuwa na hadhi ya kimataifa in terms of infrastructure and human resources ila nikutaarifu tu kuwa wananchi wamepabatiza jina kuwa VINGUNGUTI yaani ni kama machinjio ya mifugo kule vingunguti inaima!

Ni kweli kuwa hospital ya Mlonganzila inapokea wangonjwa walioshindikana katika hospitali nyingine hapa nchini kwa maana ya rufaa ila hapa ni zaidi ya graveyards, mtu kutoka hai/kupona ni nadra sana.

Nikuombe tu pitia pale labda kuna vitu sisi wageni /wapitaji hatujui ila wewe unaweza kupata ukweli

NILICHOSHUHUDIA

Nilikwenda kumwongezea damu kaka yangu nikiwa katika foleni nikaambiwa niende ofisi za juu nichukue form; nikapanda lift hadi eneo husika huko nikakuta madaktari (wako bize na simu na story za simba na yanga wakiume walikuwa kama 4 hivi upande wa pili wa kike walikuwa kama 5 hivi) wote vi vijana wa mjini mjini hivi na viduku kibao. Nikaambiwa anayetoa form hayupo nisubiri mimi na wenzangu tukaelekezwa bench tukae tukiwa hapo akaja mama mtu mzima akawaita wale madaktari wakawa kama na kikao kidogo wakiwa wamesimama yule mama akaanza kusema tena kwa sauti akiwakaripia wale vijana kwa uzembe na kusema deaths zimezidi yaani usiku mmoja wamekufa watu wote wale watu kumi na mmoja sio normal. Wakati anafoka daktari mmoja akajibu kuwa ni kweli uzembe umezidi wakaanza kurushiana maneno huku sisi tukishangaa. Akawa anawaonya kuhusu kutoroka na kwenda mtaani usiku na kuwaachia wagonjwa manesi. Inauma hii ni live nasikia tena kutoka kwa madk wenyewe.

Baadae akaja nurse akatuita akatupa form, ndugu yangu alikuwa amepata ajali ya mguu hivyo sikuwa na hofu sana na alikuwa amekaa pale siku tano akifanyiwa stretching maana aliumia kifundo cha mguu ila cha kusikitisha alivyoingia chumba cha upasuaji hakutoka mzima. Inauma sana hii, mguu hadi kifo vipi ingekuwa moyo, kichwa au uzazi!

Usiombe kufika pale, usikubali kulazwa pale, Mlonganzila ni zaidi ya Mwananzila! Mh Rais pale kuna majipu sio mchezo kila mtu analia heri ubaki Mwananyamala, Temeke au Muhimbili sio Mlonganzila. Vijana wanajifunzia udaktari kwenye miili ya wapendwa wetu.

USSR

====

Soma pia:
Haya yanayosemwa kuhusu Hospitali ya Mloganzila ni kweli?
na
Mloganzila yakanusha juu ya taarifa za vifo vya wagonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana
They don't care mkuu wako na utoto mwingi nikikumbuka yule Dada anawaonesha madk wenzake picha kwenye simu eti yule mchepuko alipigwa chini na jamaa huyu hapa ,wote wakarundikana kungalia picha na story zikaanzia hapo sisi tupo kwenye mstari tunasubili wao wanaoneshana picha za michepuko ,wapuuzi sana hata ndugu yangu kafa kwa uzembe tu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikwara yake ni kuficha udhaifu wake wa Uongozi anaamini akimwaga povu watu wataogopa sasa hivi wameshamjulia wanaharibu kisha wanamsifia kwisha habari yake
Boss USSR Pole sana Mkuu kwa kadhia uliyopata.

Nakumbuka hata Utawala wa JK kuna Kashfa iliwahigi kutoka kuhusu Hospitali hii.

Mimi binafsi nashangaa, pamoja na Ukali wa Mh. Rais lakini Viongozi na Watumishi ni vichwa ngumu, Ufisadi ndio kwa kwenda mbele, madudu kila kona. Sijui ndio wanamkomoa au ndio wamekata tamaa na maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana rufaa acha uboya kwenda mloganzila sio umaskini hospital hii hupokea wagonjwa kutoka nchi nzima kama ulikuwa hujui


State agent
Wewe ni lofa, kuna hospital ngapi za private mpaka unaenda mlongazila

Kumbe ni maskini wa kutupwa, unapiga matarumbeta kuhusu ccm kumbe mfukoni huna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kusema nini hapa
Zamani watu walikuwa wanaendelea na div four wakitegemea ku resit au kusakafia baadhi ya masomo ili waweze kufanya mtihani was form six .
Hivyo kuendelea kwake form five hapo ihungo hakuna maana kwamba alifaulu four.
Kuhusu ku feli au kufanikiwa maisha hakuhusiani na shule wapo watu wengi waliofanikiwa bila shule. Kwa juhudi zao na wengine kwa kuachiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nikupongeze kwa kuweza kuifanya hospitali hii kuwa na hadhi ya kimataifa in terms of infrastructure and human resources ila nikutaarifu tu kuwa wananchi wamepabatiza jina kuwa VINGUNGUTI yaani ni kama machinjio ya mifugo kule vingunguti inaima!

Ni kweli kuwa hospital ya Mlonganzila inapokea wangonjwa walioshindikana katika hospitali nyingine hapa nchini kwa maana ya rufaa ila hapa ni zaidi ya graveyards, mtu kutoka hai/kupona ni nadra sana.

Nikuombe tu pitia pale labda kuna vitu sisi wageni /wapitaji hatujui ila wewe unaweza kupata ukweli

NILICHOSHUHUDIA

Nilikwenda kumwongezea damu kaka yangu nikiwa katika foleni nikaambiwa niende ofisi za juu nichukue form; nikapanda lift hadi eneo husika huko nikakuta madaktari (wako bize na simu na story za simba na yanga wakiume walikuwa kama 4 hivi upande wa pili wa kike walikuwa kama 5 hivi) wote vi vijana wa mjini mjini hivi na viduku kibao. Nikaambiwa anayetoa form hayupo nisubiri mimi na wenzangu tukaelekezwa bench tukae tukiwa hapo akaja mama mtu mzima akawaita wale madaktari wakawa kama na kikao kidogo wakiwa wamesimama yule mama akaanza kusema tena kwa sauti akiwakaripia wale vijana kwa uzembe na kusema deaths zimezidi yaani usiku mmoja wamekufa watu wote wale watu kumi na mmoja sio normal. Wakati anafoka daktari mmoja akajibu kuwa ni kweli uzembe umezidi wakaanza kurushiana maneno huku sisi tukishangaa. Akawa anawaonya kuhusu kutoroka na kwenda mtaani usiku na kuwaachia wagonjwa manesi. Inauma hii ni live nasikia tena kutoka kwa madk wenyewe.

Baadae akaja nurse akatuita akatupa form, ndugu yangu alikuwa amepata ajali ya mguu hivyo sikuwa na hofu sana na alikuwa amekaa pale siku tano akifanyiwa stretching maana aliumia kifundo cha mguu ila cha kusikitisha alivyoingia chumba cha upasuaji hakutoka mzima. Inauma sana hii, mguu hadi kifo vipi ingekuwa moyo, kichwa au uzazi!

Usiombe kufika pale, usikubali kulazwa pale, Mlonganzila ni zaidi ya Mwananzila! Mh Rais pale kuna majipu sio mchezo kila mtu analia heri ubaki Mwananyamala, Temeke au Muhimbili sio Mlonganzila. Vijana wanajifunzia udaktari kwenye miili ya wapendwa wetu.

USSR

====

Soma pia:
Haya yanayosemwa kuhusu Hospitali ya Mloganzila ni kweli?
na
Mloganzila yakanusha juu ya taarifa za vifo vya wagonjwa
Huyo ndugu yako afe tu. Juzi mama yake Kabendera kafa na kabla hajafa aliomba sana Magufuli amsaidie, alimsikiliza? Yani kupelekea wasanii hela na mabegi ameweza ila kumsaidia yule mama mtu mzima tena kalia kabisa hadharani hajaweza. Hii nchi tushagawana ubinaadamu na kila mtu na upande wake....Mtakie safari njema huko aendako!
 
Mkuu tuitazame hii kwa jicho la tatu,kelele za mloganzila zimezidi,kwa nin sio hospitali zingine hata za mikoa mf Temeke,,Tumbi n.k hapa pana tatizo tukubaliana management walitazame vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah navyojua Mimi ukiwa jela imekula kwako hakuna cha kutoka kwenda kwenye sherehe au msiba


State agent
Huyo ndugu yako afe tu. Juzi mama yake Kabendera kafa na kabla hajafa aliomba sana Magufuli amsaidie, alimsikiliza? Yani kupelekea wasanii hela na mabegi ameweza ila kumsaidia yule mama mtu mzima tena kalia kabisa hadharani hajaweza. Hii nchi tushagawana ubinaadamu na kila mtu na upande wake....Mtakie safari njema huko aendako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom