Siku zote Mjinga hana cha kujifunza.Ruge alivyokuwa anabeba pesa kwenye masandarusi kama mchele alisahau?
Wakati wanakula walikua wanashinda angani kwenda ulaya
Leo wanatafuta huruma kwa Wananchi waliowaibia?
Sisi tulishazoea shida wao wameguswa kidogo tu kelele
Agizo la.Rais ni sawa na kuwa kwenye kituo cha mafuta.kuna bango limeandikwa Switch Off your Engine Papo hapo kuna bango.lingine limeandikwa Lipa Kwa Mpesa
Duuuh! sasa utalipaje kwa M-pesa wakati umeambiwa zima simu?baada ya TRA kusitisha kutangaza pesa za makusanyo ya kila mwezi,na Bunge kushindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi,mzee mzima ameibuka na chanzo kipya.
Ruge alivyokuwa anabeba pesa kwenye masandarusi kama mchele alisahau?
Wakati wanakula walikua wanashinda angani kwenda ulaya
Leo wanatafuta huruma kwa Wananchi waliowaibia?
Sisi tulishazoea shida wao wameguswa kidogo tu kelele
Miaka 4 upelelezi haujakamilika wewe ni nani kuhukumu kuwa waliiba? Kama kweli si ungekuta tayari wako nyuma ya nondo?Ruge alivyokuwa anabeba pesa kwenye masandarusi kama mchele alisahau?
Wakati wanakula walikua wanashinda angani kwenda ulaya
Leo wanatafuta huruma kwa Wananchi waliowaibia?
Sisi tulishazoea shida wao wameguswa kidogo tu kelele
Kupora watu pesa kwa staili ya kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi ndiyo kutafuta pesa? Kwanini asisubiri mahakama zitoe hukumu? Kwani mahakama haiwezi kumhukumu mtu arudishe hizo pesa alizoiba kama ni kweli aliiba? Kwanini awalazimishe watu wakiri makosa ambayo hawajayatenda?Rais yeye anatafuta pesa tujenge mabarabara, mashule n.k
Taifa katika wakati mgumu kuliko wowote ule kwenye historia ya taifa hili.Ile Ilikuwa Ni Sheria Tayari Kutoka Kichwani Mwa Mtu Anayependa Watu Milion 60 Wafikiri Yeye Anavyofikiri Nchi Inapitia Ktk Kipindi Kigumu Sana"
Unayemuuliza hilo swali unadhani ana akili timamu ?pesa zake halafu unampangia jinsi ya kuzichukua.
Hivi nyie CCM mnaelewa hata maana ya neno mtuhumiwa? Hivi unamuambia vipi mtuhumiwa akiri kosa halafu alipe hela ili muweze kumsamehe. Kwamba mahakama zetu zimeshindwa kuprove watuhumiwa kama wapo guilty au lah?Ruge alivyokuwa anabeba pesa kwenye masandarusi kama mchele alisahau?
Wakati wanakula walikua wanashinda angani kwenda ulaya
Leo wanatafuta huruma kwa Wananchi waliowaibia?
Sisi tulishazoea shida wao wameguswa kidogo tu kelele
Rais akisema nashauri natoa wito au napendekeza ujue hilo ni agizo.