bulicheka 3
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 599
- 558
Inakera Inauma tumerudi Zero
Ulimaanisha engine ya simu?Agizo la.Rais ni sawa na kuwa kwenye kituo cha mafuta.kuna bango limeandikwa Switch Off your Engine Papo hapo kuna bango.lingine limeandikwa Lipa Kwa Mpesa[emoji3]
Ruge alivyokuwa anabeba pesa kwenye masandarusi kama mchele alisahau?
Wakati wanakula walikua wanashinda angani kwenda ulaya
Leo wanatafuta huruma kwa Wananchi waliowaibia?
Sisi tulishazoea shida wao wameguswa kidogo tu kelele
INAONEKANA Serikali inahitaji fedha, ndio sababu ya msingi kuongeza hizo siku 7. WAPO waliogoma kurejesha fedha. Kama watuhumiwa 467 wamejitokeza kurejesha bilioni 100 ni wazi wapo "MAPAPA" wamegoma kupiga magoti. Habinder Seth na Rugemalira pekee tuhuma zao ni 306bn. KAZI IPO!
Nimemsikiliza Rais akisema anaongeza siku nyingine 7 kwa watuhumiwa wa uhujumu uchumi kuomba radhi, kukiri kosa na kurejesha fedha, swali la msingi, mashtaka ya uhujumu uchumi, Rais anatajwa wapi katika sheria ya uhujumu uchumi kutoa msamaha kwa washitakiwa?
TAKUKURU wakamkamata Rugemalira, mahakama ya kuu, divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na rushwa ikamnyima dhamana kwa makosa ya uhujumu uchumi 350bn/- Mahakama ya rufaa ikagoma kutoa rufaa, Baadae RAIS anasema "kubali kosa, omba radhi, rejeshe fedha kuwa huru"
Maneno ya James Rugemalira 19.06.2019 mahakama ya rufaa
"kama ndivyo, naondoa rufaa. Sihitaji dhamana. Acha nibaki mahabusu hadi siku ya kusikilizwa shauri langu. Acha nibaki magereza, waache wanifunge kumaliza hili,natuhumiwa kuiba vitu ambavyo sijafanya. Naonewa bila kosa"
Baadae anakuja Rais anamueleza mtu huyu kwamba, akiri kosa, aombe radhi na alipe fedha hizo fedha anazotuhumiwa. UONEVU! DHULUMA! kukamata raia bila ushahidi, kubambikia mashtaka Baadae kuwataka walipe fedha ili waachiwe huru ni DHULUMA na UKATILI. Acheni kuwaonea watu.
Rais wangu nini tatizo.
Ni wazuri kwenye matumizi ya nguvu kuliko ya reasoning.Mkoloni aliwatumia kwenye mashamba na makuli bandarini.Hawa wasukuma watuharibia nchi yetu, namanisha rais, AG, DPP, DCI wote kabila moja
Ni sheria mpya hiyo imesainiwa karibuni na raisINAONEKANA Serikali inahitaji fedha, ndio sababu ya msingi kuongeza hizo siku 7. WAPO waliogoma kurejesha fedha. Kama watuhumiwa 467 wamejitokeza kurejesha bilioni 100 ni wazi wapo "MAPAPA" wamegoma kupiga magoti. Habinder Seth na Rugemalira pekee tuhuma zao ni 306bn. KAZI IPO!
Nimemsikiliza Rais akisema anaongeza siku nyingine 7 kwa watuhumiwa wa uhujumu uchumi kuomba radhi, kukiri kosa na kurejesha fedha, swali la msingi, mashtaka ya uhujumu uchumi, Rais anatajwa wapi katika sheria ya uhujumu uchumi kutoa msamaha kwa washitakiwa?
TAKUKURU wakamkamata Rugemalira, mahakama ya kuu, divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na rushwa ikamnyima dhamana kwa makosa ya uhujumu uchumi 350bn/- Mahakama ya rufaa ikagoma kutoa rufaa, Baadae RAIS anasema "kubali kosa, omba radhi, rejeshe fedha kuwa huru"
Maneno ya James Rugemalira 19.06.2019 mahakama ya rufaa
"kama ndivyo, naondoa rufaa. Sihitaji dhamana. Acha nibaki mahabusu hadi siku ya kusikilizwa shauri langu. Acha nibaki magereza, waache wanifunge kumaliza hili,natuhumiwa kuiba vitu ambavyo sijafanya. Naonewa bila kosa"
Baadae anakuja Rais anamueleza mtu huyu kwamba, akiri kosa, aombe radhi na alipe fedha hizo fedha anazotuhumiwa. UONEVU! DHULUMA! kukamata raia bila ushahidi, kubambikia mashtaka Baadae kuwataka walipe fedha ili waachiwe huru ni DHULUMA na UKATILI. Acheni kuwaonea watu.
Rais wangu nini tatizo.
Mkuu unafahamu maana ya neno Sarakasi ?INAONEKANA Serikali inahitaji fedha, ndio sababu ya msingi kuongeza hizo siku 7. WAPO waliogoma kurejesha fedha. Kama watuhumiwa 467 wamejitokeza kurejesha bilioni 100 ni wazi wapo "MAPAPA" wamegoma kupiga magoti. Habinder Seth na Rugemalira pekee tuhuma zao ni 306bn. KAZI IPO!
Nimemsikiliza Rais akisema anaongeza siku nyingine 7 kwa watuhumiwa wa uhujumu uchumi kuomba radhi, kukiri kosa na kurejesha fedha, swali la msingi, mashtaka ya uhujumu uchumi, Rais anatajwa wapi katika sheria ya uhujumu uchumi kutoa msamaha kwa washitakiwa?
TAKUKURU wakamkamata Rugemalira, mahakama ya kuu, divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na rushwa ikamnyima dhamana kwa makosa ya uhujumu uchumi 350bn/- Mahakama ya rufaa ikagoma kutoa rufaa, Baadae RAIS anasema "kubali kosa, omba radhi, rejeshe fedha kuwa huru"
Maneno ya James Rugemalira 19.06.2019 mahakama ya rufaa
"kama ndivyo, naondoa rufaa. Sihitaji dhamana. Acha nibaki mahabusu hadi siku ya kusikilizwa shauri langu. Acha nibaki magereza, waache wanifunge kumaliza hili,natuhumiwa kuiba vitu ambavyo sijafanya. Naonewa bila kosa"
Baadae anakuja Rais anamueleza mtu huyu kwamba, akiri kosa, aombe radhi na alipe fedha hizo fedha anazotuhumiwa. UONEVU! DHULUMA! kukamata raia bila ushahidi, kubambikia mashtaka Baadae kuwataka walipe fedha ili waachiwe huru ni DHULUMA na UKATILI. Acheni kuwaonea watu.
Rais wangu nini tatizo.
Kuchukia wenye pesa hakukufanyi nawe uzipateRuge alivyokuwa anabeba pesa kwenye masandarusi kama mchele alisahau?
Wakati wanakula walikua wanashinda angani kwenda ulaya
Leo wanatafuta huruma kwa Wananchi waliowaibia?
Sisi tulishazoea shida wao wameguswa kidogo tu kelele
Rais akisema nashauri natoa wito au napendekeza ujue hilo ni agizo.
Wakati wabunge walipochachamaa hasa wapinzani wakati ule Bungeni kwenye issue ya ESCROW mpaka wengine wakaitwa matumbili huyo mtoa msamaha unakumbuka alikuwa wapi? Umesikia akipinga chochote?
Tupo katila laana kubwa. Kuna watu wapo mahabusu kwa vile inadaiwa hawakulipa kodi inayostahili lakini kosa wanaloshtakiwa ni uhujumu uchumi.
Watu wanne kosa kuhujumu uchumi sh milioni 20! Ina maana kila mmoja amehujumu uchumi kwa sh 5m. Huu ni uonevu mkubwa na matumizi mabaya ya sheria. Makosa ya ukwepaji kodi siku hizi yote ni uhujumu uchumi.
Kinachofanyika sasa ni unyang'anyi, ichukuaji kwa nguvu fedha za watu. Hawana ushahidi, na mahakamani hawawezi kushinda. Kilichobakia ni kuwatesa kwa kuwaweka ndani ili mateso yawalazimishe kutoa hela. HAPA NDIPO TULIPOFIKA.
Kama wananchi hatutaweza kusimama pamoja kugomea uharamia huu, hakuna aliye salama. Inatazamwa akaunti yake ya benki. Una milioni 500, unakamatwa, unashtakiwa kwa kosa la uhujumu uchumi. Kila kesi ikitajwa, upelelezi haujakamilika. Baada ya mwaka ukiwa mahabusu unaambiwa ukiri utalipa milioni 500. Inachukuliwa akiba yako yote. Wajinga watakenua meno, na kumshangilia mfalme wetu alivyo na huruma. Amemtoa mahabusu mhujumu uchumi.
Ni laana tupu. Ole wao wanaojishikamanisha na hii laana. Kuna siku watailipia.
Kuna watu mnacomment kama mna minyoo kichwani. Hivi nyie CCM mnaelewa hata maana ya neno mtuhumiwa? Hivi unamuambia vipi mtuhumiwa akiri kosa halafu alipe hela ili muweze kumsamehe. Kwamba mahakama zetu zimeshindwa kuprove watuhumiwa kama wapo guilty au lah?
Huu ni uzwazwa
Hivi hili tangazo linawahusu waliokutwa na hatia tayari? Ama wote tu wenye hizi kesi za uhujumu uchumi bila kujali upo katika hatua gani?
Mliopo kwenye tetesi pia mnaweza ungana hapo ilimsije kumbwa na kadhia hii baadae. Jitokezeni mkiri kuwa mmehujumu uchumi na sasa mpo tayar kurudisha fedha.
Ni wazuri kwenye matumizi ya nguvu kuliko ya reasoning.Mkoloni aliwatumia kwenye mashamba na makuli bandarini.
Mung'anda aisee umenikumbusha mbali sanaKwa hiyo kama huna cha kurejesha ndiyo unaozea mung'anda??
Ruge alivyokuwa anabeba pesa kwenye masandarusi kama mchele alisahau?
Wakati wanakula walikua wanashinda angani kwenda ulaya
Leo wanatafuta huruma kwa Wananchi waliowaibia?
Sisi tulishazoea shida wao wameguswa kidogo tu kelele
Nashangaa wanaomuelewa na kusifia haya anayofanya