You know nothing bro! Juzi juzi tu Tanzania imechukua mkopo toka kwa Credit Suisse! Bank ambayo inajulikana kuficha fedha haramu kwa mgongo wa ‘banking secrecy’ Halafu ati unasema Tanzania inatumia fedha halali tu! Ati model ambayo itaigwa sijui Chato ama Kolomije! Mtu aliye clueless hata kwenye Economics 101, ataweza vipi kuwa na best practice ya kuigwa sehemu zingine?unachotaka nini sikuelewi mkuu.
tuhalalishe haramu ili purchasing power iwe kubwa!!!!
misaada na mikopo ni kodi za wananchi wa nchi zilizoendelea, kama zinapatikana kiaharamu sio kwa sababu nchi hizo zimeruhusu bali kwa sababu uharamu huo haujajulikana wenda.
Mhhh mwana kama baba, hivi sasa exchange rate zikoje kama thamani ya hela yetu imepanda? Mnashangilia upepo ulovuma baharini, utaleta *catrina ndo mtajamba checheNi sawa kabisa upungufu wa hela husababisha thamani ya hela kupanda...
sijamuona na hiyo luxurious life sijaiona mkuu, kama umeiona na unauthibitisho weka tujadili mara ya mwisho nimeona wakinywa juice kwa pipi labda kama unazungumzia hiyo.
quote ya pili umechanganya vitu maana hata standard guage anadai ni pesa yetu hivyo yanachanganywa na mikopo kutimiza malengo waliyojiwekea...
Kupanda kwa bei ya dola ni propaganda za wazungu kutaka kuiadhibu tanzania kwa kuwafukuza kuchimba madiniIwe ngumu kuipata lakini iwe na thamani sio shilingi 2500 kwa dola moja.
ningekulaumu sana endapo kama ungekua ulipata elimu bora ya "msingi"NMB nao hawafanyi kazi?
Wanaopunguzwa kazi kila kukicha hawafanyi kazi?
Wanaolima na mazao yao yanakosa soko na kuharibika nao hawafanyi kazi?!
Mmevuruga kanuni za uchumi sasa mnaleta vioja.
Kuna kitu tunakosea... Nahisi umekuwa ndio usomi Wa leo... Tunaruhusu aidha kwa utashi au kwa kulazimishwa na mazingira kutumia economic models ambazo sio rafiki kwa uchumi wetu.Vietnam
soma sehemu inayozungumzia large scale infrastructures for growth and reduction of poverty.
soma hapa kwa wavietnam ...
au soma hii article ya meya Craig Thurmond wa Oklahoma miaka hiyo.
hili somo limewahi kutolewa humuhumu na mjf mmoja alipokuwa anampinga JPM alipoanza kuona hivi vitu kakaa kimya kwenye hili anatafuta vipingio vipya.
3 Ways Infrastructure Drives Economic Development
hilo la usafiri sikuungi mkono, na nimewahi kukupinga.Driven in a luxurious custom made limousine LC200. Also in a BMW 7 serious limousine. Hapa sijahesabu zile BMW X5s zilizo kwenye msafara wake na ma LC200 kibao.
Makamu wake anaendeshwa kwenye GL class ya 2016! PM na Spika wanaendeshwa kwenye Mercedes S550!
Mawaziri na manaibu, wakuu wa mikoa, wakurugenzi n.k. wanaendeshwa kwenye LC200 mpya za 2016 na 2017!
Yaani fleets za serikali hii ya kubana matumizi, hazionyeshi hilo la kubana matumizi! Yaani kubana matumizi kupo kwa siye wananchi! Ila wao, wanaendelea kula kuku kwa mrija!
Mtu ambaye anasema tulipe kodi, wakati sisi tunaomweka mjini hatufahamu hata tunamlipa kiasi gani yeye na wasaidizi wake! Yaani mishahara ya hawa ‘viongozi wa wananchi wanyonge’ imefanywa ni siri!
Magufuli lilivyo liongo, hakuna hata neno moja linalotoka mdomoni mwake, ninaloliamini!
hapa nimekuelewa lakini hii ilikuwa recommentation pia ya WB inainaonyesha kutakuwa na exponential results ktk gdp kama ikikamilika kwa ufasaha.Kuna kitu tunakosea... Nahisi umekuwa ndio usomi Wa leo... Tunaruhusu aidha kwa utashi au kwa kulazimishwa na mazingira kutumia economic models ambazo sio rafiki kwa uchumi wetu.
Lengo kuu na mfumo huu Wa kuwekeza katika miradi ya miundombinu ni mosi, kutoa nafasi ya ajira, pili kufanya miji /majiji kufunction smoothly...as an economic machine.
Sasa kwa jinsi navyoamini, kila sehemu lazima iwe na different model kulingana na mahitaji yake. Unapozungumzia Vietnam/ USA majority ya skilled labour needed kwenye miradi kama hii wanatoka ndani, sehemu kubwa ya vifaa vinavyotumika vinatoka ndani pia...hivyo matokeo yake sehemu kubwa ya uwekezaji inafanya faida ndani ya nchi.
Kujenga STD Gauge ...BRT ,Madaraja Makubwa no vital kwa maendeleo yetu... Ila inakuwa sio beneficial to the optimum level... Ikiwa 75% ya pesa ya uwekezaji inakwenda nje na 25% tu ndio inatumika ndani wakati huo huo madeni katika riba ya mikopo hiyo inakuwa kubwa kuliko hata pesa iliyo kuwa injected kwenye mzunguko.
Lengo ni kufanya pesa iwe kwenye mzunguko... Na iwe katika mzunguko unaoaaidia iwafikie wengi... Hapo itasaidia kuboresha Hali za maisha za watu...
Labda tungerudi nyuma na kufikiria namna gani ya kuboresha kilimo kwa kiongeza value ya mazao na kupeleka katika soko la kimataifa... Kwasaidia wakulima waweze kumudu gharama za maisha in return soko la ndani litakuwa na kwa maana ya watu wwnye uwezo Wa kununua... Na hii itavutia viwanda ...hayo ndio mafanikio ya kiuchumi..kwa muda mrefu.
Ni changamoto kubwa hasa kwa mataifa machanga kama haya yetu. Hao WB UN IMF ni systematic bodies zipo kusecure western interests... Kama hatuta jisimamia wenyewe kwa kupanga njia zetu kwenda mbele..tutajikuta tunapiga mark time..hapa nimekuelewa lakini hii ilikuwa recommentation pia ya WB inainaonyesha kutakuwa na exponential results ktk gdp kama ikikamilika kwa ufasaha.
ila kwenye vifaa, na man power nimekuelewa maana mzunguko utarudi kwao sio kwetu.
hilo ni eneo pia la changamoto kwa watawala
hilo la usafiri sikuungi mkono, na nimewahi kukupinga.
unataka rais atembelee pick up au vits!!!
kuna changamoto ya mazingira
Hawa jamaa huwezi kushindana nao kama uchumi wako haupo stable kama huu wa TzKupanda kwa bei ya dola ni propaganda za wazungu kutaka kuiadhibu tanzania kwa kuwafukuza kuchimba madini