Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
JPM kifaa huyo! Hakuna kuhairisha tutapiga kura kidigitaliAmeyasema hayo Leo Dodoma wakati akipokea ripoti ya takukuru na CaG
Anajua tume ni yakeJPM kifaa huyo! Hakuna kuhairisha tutapiga kura kidigitali
You will be coward ukifikiri kuwa hatapata kipindi cha pili. Piga ua anamaliza 2025 unless kifo tuAnajua tume ni yake
huyu jamaa japo nilimpa kura 2015...but now naomba isarel mtoa roho afanye yakeYou will be coward ukifikiri kuwa hatapata kipindi cha pili. Piga ua anamaliza 2025 unless kifo tu
Kumbe huwa anazipata habari za mitandaoniAmeyasema hayo Leo Dodoma wakati akipokea ripoti ya takukuru na CaG
Asichokijua ni kwamba kwa uzembe uliofanyika wa kucontroll Corona hadi kufikia mwezi wa kumi tutakuwa kama Italy mara nne hivi!
Halafu wazee wakipata Corona wanaondoka fasta sana? Hivi Meko ana miaka mingapi rafiki?Yeye akiwa mmoja wa "waasilika"
Mnasubiri Rais awape Tume huru badala ya kupambana muipateRais Magufuli kasisitiza kuwa uchaguzi mkuu 2020 upo palepale, jee wapinzani waliosema kama hakuna Tumehuru ya uchaguzi basi watahakikisha kuwa haufanyiki nini kinaendelea?
Hivi kweli serikali hii inaweza kujitia uziwi kwenye jambo hili LA Tumehuru na kusubiri matokeo ya nini watafanya upinzani?View attachment 1399821
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wazee wakipata Corona wanaondoka fasta sana? Hivi Meko ana miaka mingapi rafiki?
Wanasema watu weusi hawaugui Corona.Asichokijua ni kwamba kwa uzembe uliofanyika wa kucontroll Corona hadi kufikia mwezi wa kumi tutakuwa kama Italy mara nne hivi!