My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,487
- 11,434
Unajua Shida inakujaje"Nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote huo?" - JPM
maneno haya mujarab kabisa.
watu huku mtaani wanapiga jaramba kumsubiri Bashite atakapokuwa "nobody" ndiposa atajua jina lake halisi kumbe ni Daudi!!
Endapo Uongozi hautabadilika ukaendelea kua wa Fisiemu. Trust me watamlinda
Lakini kinyume na hapo Bashite dunia ataiona chungu hii