KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,149
- 4,752
Wale timu majungu kama nawaona km wenuna maana walianza kutoa unabii wao ...sera wameishiwa wamebaki kufanya mambo ya kitoto sanaAmeyasema hayo wakati akipokea ripoti ya TAKUKURU na CAG, amesisitiza wale wanaofikiri atasogeza uchaguzi mbele wanajidanganya.
sent from HUAWEI