Chadema kilishakufa acha propaganda za kipuuzi
kabisa na anashindwa kuelewa upinzani siyo chama ni watu na uko damini mtu anaweza chukua kadi ya ccm na akabaki upinzani na mwishowe akawadhuru vizuri ngoja wajifarijiKuna mtu ana hasira ya kushindwa kuua upinzani, hivyo mwacheni ajifriji kwa maigizo haya.
ACT wanaweza kuwa KUB lakini vp NCCR inapigiwa chapuo na mamlaka?Wajiandae hapo Novemba kukabidhi kijiti cha KUB kwa ACT.
ACT wanaweza kuwa KUB lakini vp NCCR inapigiwa chapuo na mamlaka?
Vipi familia yako nasikia imeteketea yote kwa corona?Asichokijua ni kwamba kwa uzembe uliofanyika wa kucontroll Corona hadi kufikia mwezi wa kumi tutakuwa kama Italy mara nne hivi!