Rais Magufuli tunaomba uruhusu mabadiliko shule za msingi za serikali ziwe English Medium nyingi katika miji mikubwa

Inawezekana lakini shida nadhani ni waalimu! Kama waalimu tulionao sasa ni Swahili oriented iinaweza kuchukua muda mrefu kufikia lengo hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…