Hili kweli linastahili Mh rais alitumbue. Linavuruga maadili, kuharibu watoto kwa kuonyesha mfano mbaya
TUTAFUNGIA MISAADA..UNAONA KUKATAZA USHOGA TAYARI MAREKANI WANAKATA MISAADA.
Hili kweli linastahili Mh rais alitumbue. Linavuruga maadili, kuharibu watoto kwa kuonyesha mfano mbaya
Sio kila kitu rais na hakuna tatizo lolote na mavazi ya kisasa ya dada zetu, tena wengine ndio kwanza tunataka wavae zile suti za birthday kabisa kwa sababu hata hizo nguo sio utamaduni wetu, mavazi yetu ya asili ni haya! .
Hivyo tuu wanavyovaa ni heshima sana, karibu Coco Beach siku za Jumamosi na Jumapili uje usafishe macho ndipo utakubaliana hao unaowalalamikia .
Pasco
Mh. Rais Magufuli natumai hujambo na ni mwingi wa afya njema, hata mimi mwananchi wako niko salama na wa afya njema nikiendelea kujivunia kuwa mtanzania nnaeheshimika kwa sasa kwa sababu ya uongozi wako mathubuti.
Mh. Rais sitaki nikuchoshe sana acha nikujuze tu jambo hili linalotukera sana huku mtaani japo nafahamu huenda unafahamu pia.
Mh. Rais kwa maadili ya kitanzania na jamii nzima ya watanzania mdada au mwanamke kuvaa nguo zinazobana na kuchola mwili hutafusiliwa ni kukosa heshima kwa jamii, lakini pamoja na hilo dada zetu huku mjini ndio wanazidi kuvaa hivi vinguo vya aibu kiasi kwamba akipita usoni pengine umekaa na mama au baba huenda ukalazimika kufumba macho ili apite kwani ni fedhea na aibu ya aina yake.
Mh. Rais natambua kuwa kauli yako ni sheria kwetu na ukitamka sie lazima tutekeleze hivyo basi nakuomba kwa niaba ya wapenda maadili utoe kauli inayozuia uvaaji huu wa aibu, zaidi nikutakie afya njema na nnazidi kukuombea kwa mungu aendelee kukupa nguvu nyingi na kheri katika utumishi wako.
Mwanamke mbovu na asiyejiamini utamjua tu kwa kumkandia mleta uzi,hakuna mwanamke anaejiheshimu umkute na kipedo au kisketi kifupi
Teeh....teeeh.....teeeeh....ndivo walivo hao watu mkuu.Wewe utakuwa muhehe, uliyechanganya damu na wagogo. Haiwezekani uwaseme baba zako vibaya. Utakuwa na laana hujijui tu
Kata lundi?Hili kweli linastahili Mh rais alitumbue. Linavuruga maadili, kuharibu watoto kwa kuonyesha mfano mbaya
Waacheni wavae tu,maana sanyingine no stress relief esp.pale unapombambia kwenye daladala kwa nyuma mmmh churaaahMh. Rais Magufuli natumai hujambo na ni mwingi wa afya njema, hata mimi mwananchi wako niko salama na wa afya njema nikiendelea kujivunia kuwa mtanzania nnaeheshimika kwa sasa kwa sababu ya uongozi wako mathubuti.
Mh. Rais sitaki nikuchoshe sana acha nikujuze tu jambo hili linalotukera sana huku mtaani japo nafahamu huenda unafahamu pia.
Mh. Rais kwa maadili ya kitanzania na jamii nzima ya watanzania mdada au mwanamke kuvaa nguo zinazobana na kuchola mwili hutafusiliwa ni kukosa heshima kwa jamii, lakini pamoja na hilo dada zetu huku mjini ndio wanazidi kuvaa hivi vinguo vya aibu kiasi kwamba akipita usoni pengine umekaa na mama au baba huenda ukalazimika kufumba macho ili apite kwani ni fedhea na aibu ya aina yake.
Mh. Rais natambua kuwa kauli yako ni sheria kwetu na ukitamka sie lazima tutekeleze hivyo basi nakuomba kwa niaba ya wapenda maadili utoe kauli inayozuia uvaaji huu wa aibu, zaidi nikutakie afya njema na nnazidi kukuombea kwa mungu aendelee kukupa nguvu nyingi na kheri katika utumishi wako.
Nimekusikia nitalifanyia kaziMh. Rais Magufuli natumai hujambo na ni mwingi wa afya njema, hata mimi mwananchi wako niko salama na wa afya njema nikiendelea kujivunia kuwa mtanzania nnaeheshimika kwa sasa kwa sababu ya uongozi wako mathubuti.
Mh. Rais sitaki nikuchoshe sana acha nikujuze tu jambo hili linalotukera sana huku mtaani japo nafahamu huenda unafahamu pia.
Mh. Rais kwa maadili ya kitanzania na jamii nzima ya watanzania mdada au mwanamke kuvaa nguo zinazobana na kuchola mwili hutafusiliwa ni kukosa heshima kwa jamii, lakini pamoja na hilo dada zetu huku mjini ndio wanazidi kuvaa hivi vinguo vya aibu kiasi kwamba akipita usoni pengine umekaa na mama au baba huenda ukalazimika kufumba macho ili apite kwani ni fedhea na aibu ya aina yake.
Mh. Rais natambua kuwa kauli yako ni sheria kwetu na ukitamka sie lazima tutekeleze hivyo basi nakuomba kwa niaba ya wapenda maadili utoe kauli inayozuia uvaaji huu wa aibu, zaidi nikutakie afya njema na nnazidi kukuombea kwa mungu aendelee kukupa nguvu nyingi na kheri katika utumishi wako.
Vinachangia pato la taifa
Ha ha naona watoto wa king muswatiSio kila kitu rais na hakuna tatizo lolote na mavazi ya kisasa ya dada zetu, tena wengine ndio kwanza tunataka wavae zile suti za birthday kabisa kwa sababu hata hizo nguo sio utamaduni wetu, mavazi yetu ya asili ni haya! .
Hivyo tuu wanavyovaa ni heshima sana, karibu Coco Beach siku za Jumamosi na Jumapili uje usafishe macho ndipo utakubaliana hao unaowalalamikia .
Pasco
Ha ha mie nimiependa supumleta uzi una sifa hizi
1.unatamani sana wanawake ila kinywa chako kizito,na unapowaangalia unapata msisimko
2.mleta uzi wewe huna demu kama unaye basi ni love story za kiphilipino na kama sio wewe ni bikra wa kisukuma
3.mleta uzi ukawii kupandisha nyege pindi mtazamapo mwanamke mrembo katika mavazi ya kuvutia
4.Mleta uzi wewe ni mwathirika wa punyeto kwa kiwango cha hali ya juu.
5.Una chuki na wanawake wenye maumbile mazuri na yenye mvuto kwa mwanaume yeyote yule.
6.Una allergy na maumbile mazuri ya kike mfano maziwa yaliyobostiwa yakaonekana,paja jeupe na kiuno kizuri ambacho kimo ndani ya cheni.
usitumie kigezo cha maadili kutaka kujificha mkuu.
View attachment 407392
haya kapige punyeto sasa.