Rais Magufuli toa onyo kuhusu mavazi ya dada zetu, ni aibu tupu

Police watusaidie pia kuhusu hili na ili kukomesha zaidi Raisi aseme tu japo neno moja aone sasa hiyo kampeni tokomeza vimini na vitaiti inavyofana.
Kama vipi vaeni miwani ya Mbao, police wanamjukumu makubwa sana:vibaka, panyaroad,majambazi, ajali za road etcetera, mnaacha kuwakanya wake zenu NY mbani mnakuja kulalama humu,hatutaki ujinga
 
Poleka ushamba wako wa miaka mia moja iliyopita huko. Mwanamke akivaa nguo ya kubana amekubana wewe? Kama wewe ni mkereketwa wa ''kufundisha heshima'' basi fundisha mkeo na watoto wako namna ya kuvaa. Huna mamlaka wala uwezo wa kumpangia mtu avae nini. Hata rais wa nchi hana mamlaka ya kupangia watu wavae namna gani!
Maneno ya mdau wa vimini.
 
Kama vipi vaeni miwani ya Mbao, police wanamjukumu makubwa sana:vibaka, panyaroad,majambazi, ajali za road etcetera, mnaacha kuwakanya wake zenu NY mbani mnakuja kulalama humu,hatutaki ujinga

Kazi ya police kusimamia sheria za nchi zisivunjwe hivyo kama huamini subili rais atoe tamko ndo ujue zaidi kazi ya police.
 
Nguo mbovu kimaadili kulingana na nini mkuu dini tulizoletewa au uasili na tamaduni zetu?
 
Police watusaidie pia kuhusu hili na ili kukomesha zaidi Raisi aseme tu japo neno moja aone sasa hiyo kampeni tokomeza vimini na vitaiti inavyofana.
Kama vipi vaeni miwani ya Mbao, police wanamjukumu makubwa sana:vibaka, panyaroad,majambazi, ajali za road etcetera, mnaacha kuwakanya wake zenu NY mbani mnakuja kulalama humu,hatutaki
 
kweli ww ngoshaboy!
waskuma.jpg


img-20160519-wa0003-jpg.349045
Ha ha ha ha
 
Mkuu pasco nipe mchongo wa visa za huko wanakopatikana hawa viumbe nataka nizamie huko. Bongo michosho kuishi na watu kama aliyeanzisha mada hii. Badala ashugulikie kwao huko analeta ujinga JF
Mkuu tafuta visa utoroke uende! Tanzania hakuna vazi la kisheria.
Labda baadhi ya taasisi flaniflani, mf: wanajeshi, matabibu ama labda na Waheshimiwa pia wanalazimishwa kuingia mjengoni na mi-"western suit"kwa madai kuwa eti ndiyo kuvaa kiheshima.
Heshima ipi! Wanaigiza umagharibi, wakati midomo yao ikitema kiswanglish! Wakati walishaekezwa kabisa Tanzania ni nchi ya kiswahili, lkn hawapendi.
Hizi mbiu zinazopigwaa hizi za mavazi ya heshima sijui nini! Ni suala la kufikirika, kwa sababu hakuna sheria rasmi ya mavazi.
Hakuna tunachojivunia hapa Tanzania kuwa ni cha kwetu bila kukopi toka tamaduni zingine. "Changanyikeni" hii ya kitamaduni yatubidi kuvumiliana.
Ukitaka kuhakikisha nisemayo kuwa hakuna kinachotubana, ni kuwa tangu miaka ya 70's yametolewa matamko mengi bila kutungwa sheria. Kwa nini! Watu wanakemea wanacho ki-like.
Wafuatilie kwa karibu sana, watu wote wanaotoa thread kama hizi,utagundua wengi wao ni waathirika wa saikolojia,wakijua hapa jf ni mahali pa kupumlia.
Wanapenda sana kuangalia picha za ngono na wanawake wanaovaa kwa kuonesha maumbo yao.
Jamani, mwanamke katokelezea na kivazi chake, utakuta mate yanawajaa mdomoni,hawana pa kuyatemea"inawauma" wanaanza kupuliza miluzi yao ya kishenzi kwa wivu wa maumbile ya watu!
Huo ni wivu kwa sababu wanaopigiwa miluzi ni wale wanawake wazuri,wenye nyonga pana na makalio makubwa bila kujali amevaa ndefu ama fupi.
Suala hapa ni kuelimisha watu kuwa nchi yetu inafuata dini,tamaduni na mambo mengi tu ya kukopi, kwa hiyo tuvumiliane hadi hapo mbele ya safari tutakapoamua sasa tutungiane sheria kwenye kuvaa.
Lakini kwa sasa tusidhalilishe watu wengine kwa tamaa na wivu wetu kwa ajili ya maumbile yao.
Tukifikishwa kwenye mikono ya sheria tutafungwa.
 
Hivi unajua tulikuwa tunatembea uchi afrika mtu mweupe ndio kaleta nguo kujistiri usione tunavaa hivyo asili yetu ni kuvaa vikamba vya ngozi
Halafu wewe mtoto wa kiume fanya kazi upate maisha bora usifatilie mavazi ya watu wengine wamejichokea maisha akichagua nguo ya kuvaa hufumba macho na kuvuta na kuiweka mwilini
 
Mh. Rais Magufuli natumai hujambo na ni mwingi wa afya njema, hata mimi mwananchi wako niko salama na wa afya njema nikiendelea kujivunia kuwa mtanzania nnaeheshimika kwa sasa kwa sababu ya uongozi wako mathubuti.

Mh. Rais sitaki nikuchoshe sana acha nikujuze tu jambo hili linalotukera sana huku mtaani japo nafahamu huenda unafahamu pia.

Mh. Rais kwa maadili ya kitanzania na jamii nzima ya watanzania mdada au mwanamke kuvaa nguo zinazobana na kuchola mwili hutafusiliwa ni kukosa heshima kwa jamii, lakini pamoja na hilo dada zetu huku mjini ndio wanazidi kuvaa hivi vinguo vya aibu kiasi kwamba akipita usoni pengine umekaa na mama au baba huenda ukalazimika kufumba macho ili apite kwani ni fedhea na aibu ya aina yake.

Mh. Rais natambua kuwa kauli yako ni sheria kwetu na ukitamka sie lazima tutekeleze hivyo basi nakuomba kwa niaba ya wapenda maadili utoe kauli inayozuia uvaaji huu wa aibu, zaidi nikutakie afya njema na nnazidi kukuombea kwa mungu aendelee kukupa nguvu nyingi na kheri katika utumishi wako.
Complete rubbish!!!!
 
Mkuu tafuta visa utoroke uende! Tanzania hakuna vazi la kisheria.
Labda baadhi ya taasisi flaniflani, mf: wanajeshi, matabibu ama labda na Waheshimiwa pia wanalazimishwa kuingia mjengoni na mi-"western suit"kwa madai kuwa eti ndiyo kuvaa kiheshima.
Heshima ipi! Wanaigiza umagharibi, wakati midomo yao ikitema kiswanglish! Wakati walishaekezwa kabisa Tanzania ni nchi ya kiswahili, lkn hawapendi.
Hizi mbiu zinazopigwaa hizi za mavazi ya heshima sijui nini! Ni suala la kufikirika, kwa sababu hakuna sheria rasmi ya mavazi.
Hakuna tunachojivunia hapa Tanzania kuwa ni cha kwetu bila kukopi toka tamaduni zingine. "Changanyikeni" hii ya kitamaduni yatubidi kuvumiliana.
Ukitaka kuhakikisha nisemayo kuwa hakuna kinachotubana, ni kuwa tangu miaka ya 70's yametolewa matamko mengi bila kutungwa sheria. Kwa nini! Watu wanakemea wanacho ki-like.
Wafuatilie kwa karibu sana, watu wote wanaotoa thread kama hizi,utagundua wengi wao ni waathirika wa saikolojia,wakijua hapa jf ni mahali pa kupumlia.
Wanapenda sana kuangalia picha za ngono na wanawake wanaovaa kwa kuonesha maumbo yao.
Jamani, mwanamke katokelezea na kivazi chake, utakuta mate yanawajaa mdomoni,hawana pa kuyatemea"inawauma" wanaanza kupuliza miluzi yao ya kishenzi kwa wivu wa maumbile ya watu!
Huo ni wivu kwa sababu wanaopigiwa miluzi ni wale wanawake wazuri,wenye nyonga pana na makalio makubwa bila kujali amevaa ndefu ama fupi.
Suala hapa ni kuelimisha watu kuwa nchi yetu inafuata dini,tamaduni na mambo mengi tu ya kukopi, kwa hiyo tuvumiliane hadi hapo mbele ya safari tutakapoamua sasa tutungiane sheria kwenye kuvaa.
Lakini kwa sasa tusidhalilishe watu wengine kwa tamaa na wivu wetu kwa ajili ya maumbile yao.
Tukifikishwa kwenye mikono ya sheria tutafungwa.

Maelezo malefu kumbe mtetezi wa vimini subili siku mama yako aige hivyo vivazi apite mbele ya jamaa na marafiki zako kama hutakimbilia hapa kuomba ushauli, najua suala hili unaliangalia kwa jicho la pembeni ndo mañana.
 
Nyie wanaume ndo mnaosababisha yote hayo , kwanin wakipita na hivyo vinguo vyao mnaanza kuwaita na kuwageuzia shingo zenu!!
 
Police watusaidie pia kuhusu hili na ili kukomesha zaidi Raisi aseme tu japo neno moja aone sasa hiyo kampeni tokomeza vimini na vitaiti inavyofana.
Imeshindikana ya Virainishi. Hii ni mtihani zaidi.. Kuna masuala ya msingi kama Afya,mazingira.
 
Maelezo malefu kumbe mtetezi wa vimini subili siku mama yako aige hivyo vivazi apite mbele ya jamaa na marafiki zako kama hutakimbilia hapa kuomba ushauli, najua suala hili unaliangalia kwa jicho la pembeni ndo mañana.
Sizungumzii mihemko na anavovichukia wewe kivyako. Nazungumzia mfumo wa kisheria.
Sheria gani inayokataza usichokipenda wewe?
 
Mawaziri na vyombo mbalimbali vinavyoshughulikia masuala ya maadili na tamaduni za taifa vipi hawapo hadi hili nalo tumuite Rais?
 
Back
Top Bottom