ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,048
- 49,731
Singida ndio nyumbani Kwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Mipango.na Uchumi Prof.Kitila Mkumbo lakini wanafurahia birthday ya miaka 60 ya Mkoa wao Kwa kukata Keki ilhali Mkoa Bado unaogoza Kwa
-Njaa
-Umaskini wa Kipato
-Kutoa madada kazi
-Wauza nyapu
Ilitakiwa waone aibu maana hakuna Cha kusherehekea.
Naungana na Rais Samia Kwa kuwachana makavu live maana Huwa hapindishi.
Na wamshukuru Rais walau Serikali Yale imejitahidi kutoa Bajeti kubwa na miradi Mingi ya Mkoa wa Singida.
Mwisho Mkoa huo una Mawaziri wa Wizara nyeti na Kwa ujumla wake Kuna Mawaziri 4 lakini hakuna Cha maana wanafanya.
Nilitegemea Barabara ya Kuunganisha Singida na Mikoa ya Simiyu,Mbeya na Tanga kote kuwe na Wakandarasi wako busy kama ilivyo Mkoa wa Kigoma anakotoka VP Mpango.
Watu wa Singida mpende kwenu na muone aibu.
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713940044983988543?t=bI2bQhwGktGWTta9aTmw4w&s=19
-Njaa
-Umaskini wa Kipato
-Kutoa madada kazi
-Wauza nyapu
Ilitakiwa waone aibu maana hakuna Cha kusherehekea.
Naungana na Rais Samia Kwa kuwachana makavu live maana Huwa hapindishi.
Na wamshukuru Rais walau Serikali Yale imejitahidi kutoa Bajeti kubwa na miradi Mingi ya Mkoa wa Singida.
Mwisho Mkoa huo una Mawaziri wa Wizara nyeti na Kwa ujumla wake Kuna Mawaziri 4 lakini hakuna Cha maana wanafanya.
Nilitegemea Barabara ya Kuunganisha Singida na Mikoa ya Simiyu,Mbeya na Tanga kote kuwe na Wakandarasi wako busy kama ilivyo Mkoa wa Kigoma anakotoka VP Mpango.
Watu wa Singida mpende kwenu na muone aibu.
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1713940044983988543?t=bI2bQhwGktGWTta9aTmw4w&s=19