Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,740
- 12,842
Maskini Dar..... Kama angekuwa na uwezo., basi na yale majengo makubwa makubwa angeyabeba na kuyapeleka Dodoma
MihemkoMkuu hiyo ni kweli kabisa.......sasa yaonekana naongea na vitu ambavyo havipo kwenye ilani ya chama cake.....
Nitauza nyumba zote za serikali dsm..
Kasema anaweza kuziuza zote....
Aisee!!
Ndo tuzidi zisoma 12345..... Alafu Alufu mbili na ishirini tutajua ipi imeiva ipi imeoza ili tuitupe.
mkuu hiyo wizara ulisha wahi kuisikia???Acha ipigwe tuu muje huku dom daaah cpati picha pale jamatini
Hahahanimesitajabishwa sana na kauli ya Mr.Magufuli kuhusu Wizara ya Takwimu kwa kweli binafsi sijawahi kusikia wizara inaitwa kwa jina hilo.
Dodoma itaongoza kwa uchafu Tanzania. Subirini muoneAcha ipigwe tuu muje huku dom daaah cpati picha pale jamatini
HahahaItakuwa ni wizara mpya ya kushtukiza
mkuu hiyo wizara ulisha wahi kuisikia???
cdm mshaambiwa hataki kujaribiwa utabomolewa ooh
Me nishaanza kuzichanga ikulu nitainunua na wizara ya Mambo ya Ndani pia
Dodoma itaongoza kwa uchafu Tanzania. Subirini muone