Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Nitauza nyumba zote za serikali dsm..
Kasema anaweza kuziuza zote....
Aisee!!
Kasema anaweza kuziuza zote....
Aisee!!
ndo maana tunaonya huyu mtu ni wa kuwa nae makini.tumpongeze mwisho sio kumpa kichwaHili katereza no
Endeleani kumsifia maana sisi tukisema Mfungeni gavana mtu wenu mnatuona sisi hamnazoHili katereza no
teh teh teh tehAtaziuza kwani nimali yake?
Kweli kabisa lete chanzo. sio unajenga majungu hapaTupe chanzo mkuu!