Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
Magufuli ana zile tabia za mtambuka
Tunasikia walikuwa wakifanya fyokofyoko wakapelekewa wajeda bio sasa wanaanza kurudi?Umerudi kutoka Mombasa?
Wewe aliyoyasema Magufuli unayapenda kwa kiasi gani? Je, aliyoyasema ni ukweli au siyo? Naamini leo Magufuli akiisifia UKAWA mtapiga makofi sana. Unafikiri ni kwa nini?Mkuu hata warioba aliambiwa hivi kipindi cha bunge la katiba kwasababu alisema wasiyo yapenda kuyasikia, wengine walienda mbali na kusema kuwa alitakiwa kuwa amefariki! kisa ameongea wasiyo yataka
Sawa Serikali ya TV, je wewe umewahi kujiuliza kwa nini kila siku upo na kupost vitu hapa JF? Kama una elimu ya shule au elimu yoyote ile, hiyo elimu haikusaidii.Na wewe usiye na kazi huifilisi nchi
kajitwanga mwenyewe kumpa mko wa Dar es salaam mtu aliyelaanika kama makonda , hana nidhamu Tanzania nzima wanamjuwa kwa kazi za kuwapiga wazee waliotumikia taifa hili amejishusha hadhi ndio maana kadri siku zinavyooenda ndivyo anavyopuuzwa ajiangalie makonda atamzamisha Dar es salaam au amesahau ni mfunga gidamu za viatu za mahasimu wake kisiasaPoleni sana. Magufuli hakopeshi. Anakutwanga mchana kweupe
Katika nchi kuna watu wenye PHD kama za hao waliopo ikulu ambao hawajawahi kusaidia taifa hili zaidi ya kujikomba kwa mkapa na Kikwete miezi karibu mitano tangu apewe ikulu hana analoliju zaidi ya visasi na udikteta nchi imegota hakuna kinachokwenda halafu kwenye safu yake anaongeza wapenda sifa kama makonda hana uzoefu busara wala heshima kwa wananchi unampa mkoa kajizika magufuli mchana kweupe no wonder kujionyesha eti ana mabastolaKama hana Points wewe huwa unamsikilizaga wa nini?...tuwe na tabia za wazungu hulipendi jambo unaliweka kando unashughulika na mengine...mtu humpendi ila bado unamfuatilia hii inaonesha kuwa unashughulika na uwepo wake.
Dr Lwaitama ni mmoja kati ya watu walioenda Chuoni kutafuta Elimu na sio kushangaa majengo tu.
magufuli si anajipambanua kuwa ni mzee wa kubana matumizi? sasa kwanini anaendelea kuwalipa mishahara wakuu wa mikoa, wilaya na tarafa wakati hawana faida yoyote katika nchi hii?Hivi Rais anaongoza nchi kwa kutumia nini? Atakavyoamka siku hiyo au ushauri wa mke wake?
Mlikimbia bunge maalum la katiba,Magu afanyeje?
Hawa niwakudharau sanaHuyu Dr nae kaishiwa chakusema sasa. Kwani kumteua Makonda RC kunahusiana vipi na utendaji wa meya? Alitaka achaguliwe yeye? That's cheap for a PHD holder hata kama kazeeka. Mbona Meya wa Kinondoni hapa ni wa upinzani lakin anapewa support ya kutosha. Pumzika Dr, hz siyo zama za JK
Wanamwali wa Mombasa naona umekuja kivingineMtashindwa
Awamu hii hatuta waelewa
Huyu ndio chaguo sahihi kwa Watanzania
Jibu hojaHuyu Dr nae kaishiwa chakusema sasa. Kwani kumteua Makonda RC kunahusiana vipi na utendaji wa meya? Alitaka achaguliwe yeye? That's cheap for a PHD holder hata kama kazeeka. Mbona Meya wa Kinondoni hapa ni wa upinzani lakin anapewa support ya kutosha. Pumzika Dr, hz siyo zama za JK
Ndio maana meamua kuamia Mombasa sasa hivi?Climb to the roof top and shout loudly but mtakuwa mnatwanga maji kwenye kinu kama kawaida yenu. Kelele zenu zisizoisha hazitunyimi usingizi. A dog that can only bark but cannot bite is not worth its name.
Hapa hakuna na kumwita mwandishi wa habari wala maigizoSawa Serikali ya TV, je wewe umewahi kujiuliza kwa nini kila siku upo na kupost vitu hapa JF? Kama una elimu ya shule au elimu yoyote ile, hiyo elimu haikusaidii.
Hata sisi tunaona kazi za Kwenda Mombasa kazi za maigizo na mazingabwe zote ni kazi tuMuda wa kampeni umeisha. Sasa hivi ni kazi tu.
Atulie sindano zimuingie vizuri.
Wala sijasema Magufuli anazeeka vibaya kwasababu kusema nisiyo yataka!....Wewe aliyoyasema Magufuli unayapenda kwa kiasi gani? Je, aliyoyasema ni ukweli au siyo? Naamini leo Magufuli akiisifia UKAWA mtapiga makofi sana. Unafikiri ni kwa nini?
Mbona maneno mengi kuliko utekelezaji, tuanze Na Tanzania yenye VIWANDA! Huku dar Maisha Ni magumu sana tofauti Na huko Lizaboni.Poleni sana. Magufuli hakopeshi. Anakutwanga mchana kweupe
Kwa kukaririshwa maneno mko vizuri. Sisi tunafurahia sana hili maana mnalishwa ujingaa huku mkimeza bila kuuliza na mwisho wa siku mnabaki mkilia tu. Endeleeni maana ujinga wenu ni mtaji kwetu.Ndio maana meamua kuamia Mombasa sasa hivi?