Rais Magufuli ni mchochezi

Rais Magufuli ni mchochezi

Kwa kukaririshwa maneno mko vizuri. Sisi tunafurahia sana hili maana mnalishwa ujingaa huku mkimeza bila kuuliza na mwisho wa siku mnabaki mkilia tu. Endeleeni maana ujinga wenu ni mtaji kwetu.
Mkuu hata Lizabon analijua hilo
 
Magufuli ni Msubi sio msukuma, hakunaga wasukuma wa kihivyo
 
Mtasema na kusema Tingatinga liko kazini na kazi mnaiona tulieni jipangusheni vumbi
 
Mleta mada badilisha kichwa cha habari, neno mchochezi lina maana mbaya. Ni neno kali sana. Nakushauri kwa nia njema sana, unayemzungumzia ni mkuu wa nchi, tafuta neno lisilo na makali kama hili la "uchochezi". Jaribu kuifahamu sanaa ya maongezi ya jamii. Be careful my good friend.
Ukitoa vitisho unapata zaidi ya book saba. Ok
 
Kwani wewe unakuwaga na hoja?
Mwanahabari nimekushauri kuhusiana na tabia yako ya kujiona uko so free kiasi cha kushindwa kuchagua heading ya thread zako. Wewe ni kijana bado, unayo mategemeo mengi mbeleni, be careful na lugha inayotumia haswa unapomuongelea rais wa nchi. Nakushauri nikiwa mwandishi na mdau wa habari kama wewe. My good friend kuwa mwangalifu na emotions zako, zinaweza kuwa na madhara kwako in the future.
 
Hufahamu maana ya ukabila, unaongea kitu usichoweza kukielezea, ukisikia watu wanaongelea kitu fulani jaribu kuomba wakueleze kwa undani maana ya wanachokiongea.
Ukimaliza kujitoa fahamu, fuatilia hoja zako zilikotokea, itakusaidia
 
Ukimaliza kujitoa fahamu, fuatilia hoja zako zilikotokea, itakusaidia
Bwana mdogo viroba vitauharibu ubongo wako, mada inahusu rais kuitwa mchochezi, wewe unaleta mada nyingine tena, huoni kwamba hatumtendei haki mwanahabari na thread yake?. Jaribu kuwa kama mtu anayefikiria kabla hujapost kitu.
 
Bwana mdogo viroba vitauharibu ubongo wako, mada inahusu rais kuitwa mchochezi, wewe unaleta mada nyingine tena, huoni kwamba hatumtendei haki mwanahabari na thread yake?. Jaribu kuwa kama mtu anayefikiria kabla hujapost kitu.
Pole sana
 
Back
Top Bottom