Rais Magufuli, Naona Changamoto na mtihani mgumu sana mbele yako

Rais Magufuli anasifiwa na kuliliwa kwa kasi aliyoanza nayo. Anatazamwa na watanzania kama mwenye nia ya wazi ya kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe Serikalini. Hata hotuba yake Bungeni ilimchora kama bora na mwenye dhamira. Mchezo kamili bado haujaanza. Yote hayo yalikuwa ni sawa na timu kuingia uwanjani na kupasha misuli. Mpira kamili haujaanza.Mpira utaanza pale watakapoteuliwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri. Hawa watakuwa ndiyo wakuu wa Wizara zao. Watakuwa ndiyo wanaoongoza na kuelekeza Wizara. Rais itampasa kuwaacha Mawaziri kuenjoy madaraka yao.Rais hataweza,na haipendezi kutokea,kufuatili jambo au mambo fulani moja kwa moja kwakuwa kutakuwa na Waziri husika. Kinachotokea sasa ni sawa na Mwalimu wa zamu kusimamia kazi zote shuleni bila uwepo wa viranja wa zamu.Mkwamo wa Rais Magufuli,kusipokuwa na umakini kwenye uteuzi,utaanzia litakapopatikana Baraza la Mawaziri. Na Rais hataweza kubadilibadili kila mara!Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
atakaezembea kwenye nafasiyake namfukuza malamoja.
 
Tumuombee ili Mungu amuwezeshe kuchagua watu sahihi katika wizara zote na wenye nia njema sawa na Rais Magufuli ili kulipeleka taifa letu mbele.Naamini kwa maombi inawezekana.
 
Yaani mmekaa kinegative negative,kuweni na mawazo chanya hata mara moja khaa.atakwama atakwama kwanza yeye km yeye rais Maguful ni jeshi tyr la mtu mmoja hata kusingekua na mawazir pekeyake anatosha kabisaaaa,tumeona aliyoyafanya even without hao so called mawazir
 
Rais Magufuli anasifiwa na kuliliwa kwa kasi aliyoanza nayo. Anatazamwa na watanzania kama mwenye nia ya wazi ya kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe Serikalini.

Hata hotuba yake Bungeni ilimchora kama bora na mwenye dhamira. Mchezo kamili bado haujaanza. Yote hayo yalikuwa ni sawa na timu kuingia uwanjani na kupasha misuli. Mpira kamili haujaanza.

Mpira utaanza pale watakapoteuliwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri. Hawa watakuwa ndiyo wakuu wa Wizara zao. Watakuwa ndiyo wanaoongoza na kuelekeza Wizara. Rais itampasa kuwaacha Mawaziri kuenjoy madaraka yao.

Rais hataweza,na haipendezi kutokea,kufuatili jambo au mambo fulani moja kwa moja kwakuwa kutakuwa na Waziri husika. Kinachotokea sasa ni sawa na Mwalimu wa zamu kusimamia kazi zote shuleni bila uwepo wa viranja wa zamu.

Mkwamo wa Rais Magufuli,kusipokuwa na umakini kwenye uteuzi,utaanzia litakapopatikana Baraza la Mawaziri. Na Rais hataweza kubadilibadili kila mara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Huna jipya wewe. Upinzani si kupinga kila kitu.
 
Jamani tumuunge mkono badala ya kumkatisha tamaa .kila mmoja wetu popote alipo .tubadilike sasa
 
Huyu Mzee ataigeuza nchi yetu kuwa marekani kwa kasi hii.....hahahahahahaha!!!!!!!!!
 
Rais Magufuli anasifiwa na kuliliwa kwa kasi aliyoanza nayo. Anatazamwa na watanzania kama mwenye nia ya wazi ya kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe Serikalini.

Hata hotuba yake Bungeni ilimchora kama bora na mwenye dhamira. Mchezo kamili bado haujaanza. Yote hayo yalikuwa ni sawa na timu kuingia uwanjani na kupasha misuli. Mpira kamili haujaanza.

Mpira utaanza pale watakapoteuliwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri. Hawa watakuwa ndiyo wakuu wa Wizara zao. Watakuwa ndiyo wanaoongoza na kuelekeza Wizara. Rais itampasa kuwaacha Mawaziri kuenjoy madaraka yao.

Rais hataweza,na haipendezi kutokea,kufuatili jambo au mambo fulani moja kwa moja kwakuwa kutakuwa na Waziri husika. Kinachotokea sasa ni sawa na Mwalimu wa zamu kusimamia kazi zote shuleni bila uwepo wa viranja wa zamu.

Mkwamo wa Rais Magufuli,kusipokuwa na umakini kwenye uteuzi,utaanzia litakapopatikana Baraza la Mawaziri. Na Rais hataweza kubadilibadili kila mara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mwacheni Rais afanye kazi yake. Urais kautaka mwenyewe na anajiamini hawezi kukwama. Ana uthubutu, hata alisema hajawahi kushindwa sehemu yoyote ile. Tumpe muda na tumuombee afanikishe ndoto zetu. Ukianza kufikiria kukwama kwenye maisha au mambo yoyote basi utakwama kweli
 
Kweli unyumbu mbaya, yarab tunausuru waja wako ni kizazi hiki cha manyumbu wanaigawiwa viriba kwenye mikutano ya siasa
 
Nilidhani wanachi kwa pamoja wanahamu ya maendeleo kumbe sivyo. Wengine wana mawazo ya kurudi nyuma kama tulivyokua tukizungusha mikono kwa kurudi nyuma. Hii ilikuwa fikra mbaya kimtazamo. Ilitakiwa tuzungushe mikono kwa kwenda mbele tuu ili kujenga imani ya mabadiliko
 
kwa kweli tulimuunga mkono , tukampigania na aliaihidi hatatuangusha atatufanyia kazi nzuri na kutekeleza ahadi, na ameanza vizuri tunajifunia kumpa kura zetu. Hakuna wasi maana alishasema hatawavumilia wazembe na wanafiki ambao kweli ni kikwazo.

Rais Magufuli anasifiwa na kuliliwa kwa kasi aliyoanza nayo. Anatazamwa na watanzania kama mwenye nia ya wazi ya kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe Serikalini.

Hata hotuba yake Bungeni ilimchora kama bora na mwenye dhamira. Mchezo kamili bado haujaanza. Yote hayo yalikuwa ni sawa na timu kuingia uwanjani na kupasha misuli. Mpira kamili haujaanza.

Mpira utaanza pale watakapoteuliwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri. Hawa watakuwa ndiyo wakuu wa Wizara zao. Watakuwa ndiyo wanaoongoza na kuelekeza Wizara. Rais itampasa kuwaacha Mawaziri kuenjoy madaraka yao.

Rais hataweza,na haipendezi kutokea,kufuatili jambo au mambo fulani moja kwa moja kwakuwa kutakuwa na Waziri husika. Kinachotokea sasa ni sawa na Mwalimu wa zamu kusimamia kazi zote shuleni bila uwepo wa viranja wa zamu.

Mkwamo wa Rais Magufuli,kusipokuwa na umakini kwenye uteuzi,utaanzia litakapopatikana Baraza la Mawaziri. Na Rais hataweza kubadilibadili kila mara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Tumuombee ili Mungu amuwezeshe akuchagua watu sahihi katika wizara zote na wenye nia njema sawa na Rais Magufuli ili kulipeleka taifa letu mbele.Naamini kwa maombi inawezekana.

Tunamwombea! Ila na yeye aombe! Kwenye uteuzi wa waziri mkuu hajatushawishi!
 
Sema hajakushawishi sio hajatushawishi... Ulitaka amteue ndugu yako? Think positive usikurupuke!
 
Lowassa alikwamia wapi? Nasikia hajafika kwenye ng'ombe zake alizoahidi kwenda kuchunga na badala yake kumuachia Mdosi anaitwa Salim akamchungie.
 
Kama sifa na pongezi alishapewa sana kikwete,tulimpa PhD na uprofesa wa sifa, awamu hii ni Kazi tu sifa mpelekee mkeo/mmeo. Kama mwana ccm anadhani rais yupo pale kutafuta sifa na pongezi imekula kwako.
 
Mzee mwenzangu; waziri anasimamia wizara kwa niaba ya Rais tu na hili halimzuii Rais kuingilia kati au kufuatilia jambo ndani ya wizara fulani. Ndio maana Rais akiamua anaweza kuitaka wizara fulani kuwa yeye ndiyo waziri wake (iko chini yake). Mawaziri safari hii waogope kweli kweli; hakuna kuhamishwa; hakuna kubembelezwa; huwezi kudeliver unaondolewa tu. Muda wa kuanza kutoa "semina elekezi" haupo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom