The Whistleblower
Senior Member
- Dec 9, 2022
- 137
- 224
Tanzania inaendelea kubakia nyuma wakati mataifa mengi ya kiafrika yakipiga mwendo kwenye Demokrasia ya kweli.
Tanzania hakuna Demokrasia ya kweli isipokuwa kuna kiini macho cha Demokrasia au mazingaombwe ya Demokrasia.
Ni Tanzania tu ambako Rais wa nchi ni lazima awe Dokta, yaani mtu anapokuwa Rais wa Tanzania anapewa cheo cha ziada cha Udokta, wakati Rais wa nchi ni mkubwa kwa hadhi Kuliko vyeo vyote, maana yake Baada ya Mungu kwa hadhi anayefuata ni Rais wa nchi.
Lakini kwa Tanzania ni lazima waanze na Dokta, yaani kumwita tu mh Rais wanaona haitoshi.
Senegal Tayari wamepata tena Rais kutoka upinzani huku sisi tukiendelea kuikumbatia CCM, Chama kilichojichokea kabisa na kimekosa Dira ya kuongoza nchi.
CCM ni chama cha watu aina mbili Tu, kundi la kwanza ni watu wanaofaidika na Chama,na kundi la pili ambalo ndo kubwa zaidi ni la mambumbumbu wa kutupwa,ambao akila na kushiba,hata ukimwambia kuwa hii hewa inaletwa na CCM yeye anakubali tu.
Ni Tanzania tu, ambako Rais anapewa kila aina ya sifa na wapambe ili kujikomba.
Ni bora wangefuta kabisa vyama vya upinzani ili wabakie na li CCM Lao Kuliko kuwafanya watu wote hawana akili kabisa.
Yaani inashangaza sana, Tanzania yenye kila kitu kizuri, kuanzia ardhi, Raslimali zote lakini watu wake ni maskini wa kutupwa halafu Chama cha CCM kilichofeli kuongoza nchi eti bado kinawaambia wananchi wakipe ridhaa Tena.
Aisee Tanzania unachefua sana wewe nchi
Tanzania hakuna Demokrasia ya kweli isipokuwa kuna kiini macho cha Demokrasia au mazingaombwe ya Demokrasia.
Ni Tanzania tu ambako Rais wa nchi ni lazima awe Dokta, yaani mtu anapokuwa Rais wa Tanzania anapewa cheo cha ziada cha Udokta, wakati Rais wa nchi ni mkubwa kwa hadhi Kuliko vyeo vyote, maana yake Baada ya Mungu kwa hadhi anayefuata ni Rais wa nchi.
Lakini kwa Tanzania ni lazima waanze na Dokta, yaani kumwita tu mh Rais wanaona haitoshi.
Senegal Tayari wamepata tena Rais kutoka upinzani huku sisi tukiendelea kuikumbatia CCM, Chama kilichojichokea kabisa na kimekosa Dira ya kuongoza nchi.
CCM ni chama cha watu aina mbili Tu, kundi la kwanza ni watu wanaofaidika na Chama,na kundi la pili ambalo ndo kubwa zaidi ni la mambumbumbu wa kutupwa,ambao akila na kushiba,hata ukimwambia kuwa hii hewa inaletwa na CCM yeye anakubali tu.
Ni Tanzania tu, ambako Rais anapewa kila aina ya sifa na wapambe ili kujikomba.
Ni bora wangefuta kabisa vyama vya upinzani ili wabakie na li CCM Lao Kuliko kuwafanya watu wote hawana akili kabisa.
Yaani inashangaza sana, Tanzania yenye kila kitu kizuri, kuanzia ardhi, Raslimali zote lakini watu wake ni maskini wa kutupwa halafu Chama cha CCM kilichofeli kuongoza nchi eti bado kinawaambia wananchi wakipe ridhaa Tena.
Aisee Tanzania unachefua sana wewe nchi