Rais Magufuli naomba Uingilie Kati Siku hizi Kuajiriwa ni Kuanzia Miaka 18-25?

Good People

JF-Expert Member
Aug 6, 2016
945
1,817
Wakuu Nilisikitishwa sana mwaka jana TRA walitoa Nafasi wakawa wanataka watu wasiozidi Umri wa Miaka 25.

Kutokana na System ya Elimu ya Bongo watu wengi wanamaliza wakiwa na miaka 24 na Kuendelea na Tatizo la ajira kufika miaka 27 hajapata kazi ni Kawaida.

So anafika miaka 27 anakua hana vigezo vya Kupata kazi (yaani anakua Mstaafu kwa Lugha nyingine) hili linaumiza sana ndo maana siku hizi nikiona kamba ipo sehemu naitamani sana.

Kinachoshangaza JKT Wanachukua hadi miaka 31. na Wote tunajua Jeshi linahitaji watu wenye Nguvu Kinachonishangaza Sehemu Kama TRA na PCCB wanataka wasiozidi Umri wa miaka 25.

Nimeongea Kwa Uchungu Baada ya Kuona Nafasi Za Kazi Leo zilizotangazwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Likitaka Vijana wasiozidi miaka 25.

So siku hizi Ukifika miaka 26 Unakua Mstaafu? Ndo maana nimeamua Kujiajiri baada ya Kuzeeshwa na Umri wangu wa miaka 25.

Rais Magufuli Naomba Usikie Kilio Chetu wakurugenzi wanapotaka kuingiza ndugu zao ndo wanatumia Vigezo kama Hivi Mtu aliye na Umri wa miaka 26 hajazeeka kiasi hicho Tabia hii ikiota Mizizi ipo siku Taasis zitataka watu wenye Umri wa miaka 23.

Magufuli Tusikilize Wananchi wa Tanzania.
 
Wakuu Nilisikitishwa sana mwaka jana TRA walitoa Nafasi wakawa wanataka watu wasiozidi Umri wa Miaka 25.

Kutokana na System ya Elimu ya Bongo watu wengi wanamaliza wakiwa na miaka 24 na Kuendelea na Tatizo la ajira kufika miaka 27 hajapata kazi ni Kawaida.

So anafika miaka 27 anakua hana vigezo vya Kupata kazi (yaani anakua Mstaafu kwa Lugha nyingine) hili linaumiza sana ndo maana siku hizi nikiona kamba ipo sehemu naitamani sana.

Kinachoshangaza JKT Wanachukua hadi miaka 31. na Wote tunajua Jeshi linahitaji watu wenye Nguvu Kinachonishangaza Sehemu Kama TRA na PCCB wanataka wasiozidi Umri wa miaka 25.

Nimeongea Kwa Uchungu Baada ya Kuona Nafasi Za Kazi Leo zilizotangazwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Likitaka Vijana wasiozidi miaka 25.

So siku hizi Ukifika miaka 26 Unakua Mstaafu? Ndo maana nimeamua Kujiajiri baada ya Kuzeeshwa na Umri wangu wa miaka 25.

Rais Magufuli Naomba Usikie Kilio Chetu wakurugenzi wanapotaka kuingiza ndugu zao ndo wanatumia Vigezo kama Hivi Mtu aliye na Umri wa miaka 26 hajazeeka kiasi hicho Tabia hii ikiota Mizizi ipo siku Taasis zitataka watu wenye Umri wa miaka 23.

Magufuli Tusikilize Wananchi wa Tanzania.
Mkuu hizo nafasi za PCCB sijaziona embu zitupie hapa nina dogo mmoja anaweza fit kwenye umri hapo
 
elimu zetu za kuunga unga 25 ndo unaenda chuo, kumaliza na 28 alafu pimbi flani ana miaka 55 anaweka kigezo cha miaka 25 upuuzi mtupu

uone ubaguzi wao TANROAD WAO WANAKWAMBIA MIAKA 30-35

wapuuzi wengine wao ni uzoefu
Bora Tanroad Umri huo ni kwa shift in charge nilishawahi Kufanya nao kazi shift incharge kweli anatakiwa awe na Umri huo lakini officers wengine wana Umri wa kawaida tuu.
 
Wakuu Nilisikitishwa sana mwaka jana TRA walitoa Nafasi wakawa wanataka watu wasiozidi Umri wa Miaka 25.

Kutokana na System ya Elimu ya Bongo watu wengi wanamaliza wakiwa na miaka 24 na Kuendelea na Tatizo la ajira kufika miaka 27 hajapata kazi ni Kawaida.

So anafika miaka 27 anakua hana vigezo vya Kupata kazi (yaani anakua Mstaafu kwa Lugha nyingine) hili linaumiza sana ndo maana siku hizi nikiona kamba ipo sehemu naitamani sana.

Kinachoshangaza JKT Wanachukua hadi miaka 31. na Wote tunajua Jeshi linahitaji watu wenye Nguvu Kinachonishangaza Sehemu Kama TRA na PCCB wanataka wasiozidi Umri wa miaka 25.

Nimeongea Kwa Uchungu Baada ya Kuona Nafasi Za Kazi Leo zilizotangazwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Likitaka Vijana wasiozidi miaka 25.

So siku hizi Ukifika miaka 26 Unakua Mstaafu? Ndo maana nimeamua Kujiajiri baada ya Kuzeeshwa na Umri wangu wa miaka 25.

Rais Magufuli Naomba Usikie Kilio Chetu wakurugenzi wanapotaka kuingiza ndugu zao ndo wanatumia Vigezo kama Hivi Mtu aliye na Umri wa miaka 26 hajazeeka kiasi hicho Tabia hii ikiota Mizizi ipo siku Taasis zitataka watu wenye Umri wa miaka 23.

Magufuli Tusikilize Wananchi wa Tanzania.
Mungu wa mbinguni haki ya mama anawaona
 
Bora Tanroad Umri huo ni kwa shift in charge nilishawahi Kufanya nao kazi shift incharge kweli anatakiwa awe na Umri huo lakini officers wengine wana Umri wa kawaida tuu.
Ufafanuzi kidogo mkuu kwa nini shift in charge awe na miaka 30-35
 
elimu zetu za kuunga unga 25 ndo unaenda chuo, kumaliza na 28 alafu pimbi flani ana miaka 55 anaweka kigezo cha miaka 25 upuuzi mtupu

uone ubaguzi wao TANROAD WAO WANAKWAMBIA MIAKA 30-35

wapuuzi wengine wao ni uzoefu
Kweli mkuu! , mie mwenyewe nimeumia sana baada ya kusoma sifa za mwombaji wa Nazi PCCB,
 
Back
Top Bottom