masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Mama Janet kapendeza
Mama kapendeza...
!!.......Mkuu Mazigazi...inaelekea huna style...!Mbona mama anavaaa manguo oversize siku hizi.
Nawaza tu hapa
Mama Janet kapendeza
Mama kapendeza...
!!.......Mkuu Mazigazi...inaelekea huna style...!Mbona mama anavaaa manguo oversize siku hizi.
Nawaza tu hapa
nasikia hata kivule kule atapitiaKagera kule wameshakula pesa za rambi rambi hawawezi kwenda kabisa
Ni muadhama au kwa kiingereza His Eminence. Mhashamu ni cheo cha askofu, kwa kiingereza His Right Reverend. Na papa anaitwa His Holiness. Ndio vyeo vya viongozi katika kanisa katoliki.
Ila Pengo kachoka. Ni mwalimu wangu seminarini miaka hiyo.
Anaitwa Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. Mhashamu hutumika kwa askofu.Ni Muadhama au Mhasham? Sijaelewa hii title mpya ya cardinali Pengo
Ulisoma seminary gani?Ahsante sana chifu, nimekuelewa kwa kweli. Ni kweli Pengo amechoka sana, afya imedorora. Pamoja na kufundishwa na mtu aliyekuja kuwa cardinali nchini bado ukakosa wito wa kuwa paroko mkuu? Ungefundishwa na padri wa kawaida ingekuwaje? Ungedrop seminary mapema sana nadhani. Hahahahaha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mkewe, Mama Janeth Magufuli wamemtembelea Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es salaam, Muadhama Kardinali Polycarp Pengo ili kumpa pole kufuatia kifo cha dada yake.
Rais na Mkewe wamekutana na Muadhama Kardinali Polycarp Pengo katika makazi yake Kurasini jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiongea na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es salaam Muadhama Kardinali Polycarp Pengo.