Rais Magufuli Mpongeze Uhuru HARAKA

Rais Magufuli Mpongeze Uhuru HARAKA

Status
Not open for further replies.
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....
tutolee ujinga wako hapa,chama tawala kilikuwa KANU tu,baada ya kufa vyote ni vyama vya upinzani..
 
Subiri utakapokuwa Rais au yule unayemshabikia awe Rais ndo utoe ushauri huu.

Uraisi ni Taasisi siyo mtu, hivyo kuna mambo ya kidiplomasia na kitaifa kabla ya kutoa tamko. Na kumbuka Kenya, siyo tu ni nchi jirani, lakini pia wananchi wake ni marafiki na ndugu zetu. Hivyo, basi katika hali ya kisiasa ni busara kuwa makini na matamko ya kisiasa.

Phillemon Mikael, hivi Rais Magufuli alipewa pongezi na Serikali ya Kenya muda gani baada ya kutangazwa kama mshindi?
: information is Power


State House released a ministry of Foreign Affairs letter,congratulating Magufuli for his win.

This makes Uhuru the first East African President to congratulate Magufuli. Contents of the letter was not availed.

"...the ministry has the honor to forward a congratulatory letter from H.E. Hon Uhuru Kenyatta..." the Foreign Affairs ministry letter reads in part.

“The ministry of Foreign Affairs and International Trade of the Republic of Kenya avails itself of this opportunity to renew to the High Commission of the United Republic of Tanzania the assurances of its highest consideration."
 
..afanye hima kumpongeza Uhuru Kenyatta ili kutuondolea AIBU ya tuhuma kwamba alikuwa na upande ktk uchaguzi wa Kenya.

..Pia CDM , CCM,..wana uhuru wa kuchagua vyama rafiki ndani na nje ya nchi na kusaidiana kwa namna mbalimbali.

..CDM kuwaunga mkono Jubilee hakuna tatizo. Kwamba Jubilee ni chama tawala siyo hoja kwasababu ktk uchaguzi wowote kuna uwezekano wa kushinda au kushindwa.

..Katika uchaguzi wa Ghana CDM walimuunga mkono Nana Ado mgombea wa upinzani. Matokeo yalipokuja Nana Ado akatangazwa mshindi.

..Kwa mfano huo wa uchaguzi wa Ghana, utaona kwamba wale wanaosisitiza CDM lazima ishirikiane na vyama vya upinzani tu, hawana hoja.

..Kwenye nchi za wenzetu vyama vya siasa hupokezana madaraka.
Chadema imelazimishwa na Lowassa kumuunga mkono Kenyatta, huyu Mtu ni rafiki wa Lowassa, sio wa Chadema. Kumbuka alieanza kuweka misimamo wake wazi wa kumkubali Kenyatta ni mzee Lowassa, watu wakaanza kuhoji inakuwaje anakuwa na msimamo kinyume na chadema. Ndio baadae sana Mbowe akajitokeza na kusema sasa wamebadili msimamo wao kama chama wanasapoti Jubelee.

Kwa mtu makini ataelewa hiyo ni amri kuwa chama kiachane na Raila kihamie kwa Kenyatta.

Nani mwingine amekuwa busy na uchaguzi wa Kenya ndani ya Chadema zaidi ya mzee Lowassa?

Tusubiri muda tu mzee atakalia kiti cha uenyekiti mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JPM asimpongeze uhuru kwa lipi? ....akipongeza msigeuze maneno maana siku hizi mnapinga kila kitu ....alafu badala ya kumsaidia mpinzani mwenzenu mnasaidia chama tawala ....mnategemea wapinzani wa Kenya wawaunge mkono 2020? ....uchaguzi Kenya umeisha ....maisha lazima yaendelee ....lazima uhuru na JPM washirikiane .....

Odinga alimsihii lowassa akubal matokeo,
Kwann yeye asikubali matokeo????????????
Uache unafiki na wewwe unajua fika magu alitaka odinga ashinde... kwan magu c n serikal na od n upinzan!?kuna ubaya gan upinzan kusapot serikal ya demokrasia!?
Thubutun kuweka fair kama kenya muone mtakavopigwa asubh kabla ya saa 4
Shubamiiiiiit
 
Siasa zimekwisha na Uhuru katangazwa Rais tayari hata kama..kuna..madai na udhibitisho wa wizi wa kura kama ambavyo ulikuwapo huko nyumbani mwaka 2015

Urais ni taasisi na ukiwa hapo unasimamia maslahi mapana ya taifa na sio yako ...inawezekana ulitaka Raila kama ulivyotaka Kagame ashinde..na..pengine unaugulia mapesa uliyompelekea kama rafiki yako,lakini kwa kiti ulichokalia hunyimwi kuwa na rafiki lakini kama mkuu wa nchi TUMA PONGEZI KWA UHURU..haina maana yeye haelewi...una...mapenzi binafsi
Rais wa Tanzania anapochelewa kutuma pongezi inavuruga..diplomasia na urafiki wetu na undugu na Kenya .

Iweje ichukue chini ya dakika 20' baada ya matokeo kutoka kumpongeza Kagame...lakini asubuhi inafika hatujatuma salamu Kenya
Tanzania sio Mali..binafsi ya mtu .

Tunajua kuna madai ya utatu wa kuunda Bahima Empire...ndio inafanya baadhi ya viongozi kufanya unafiki na hawakutaka Uhuru ashinde.

Kwa ndugu zetu Wakenya na kwa Uhuru tunaomba msichukulie kuchelewa kwa salam..rasmi za nchi kuwa hatuwatakii mema ,tunawapenda sana ...na tunaomba Uhuru asichukie watanzania kwa ajili ya mtu mmoja

Msimfundishe Magu kazi! Atatuma kwa wakati anaojua utafaa!!!!
 
Chadema imelazimishwa na Lowassa kumuunga mkono Kenyatta, huyu Mtu ni rafiki wa Lowassa, sio wa Chadema. Kumbuka alieanza kuweka misimamo wake wazi wa kumkubali Kenyatta ni mzee Lowassa, watu wakaanza kuhoji inakuwaje anakuwa na msimamo kinyume na chadema. Ndio baadae sana Mbowe akajitokeza na kusema sasa wamebadili msimamo wao kama chama wanasapoti Jubelee.

Kwa mtu makini ataelewa hiyo ni amri kuwa chama kiachane na Raila kihamie kwa Kenyatta.

Nani mwingine amekuwa busy na uchaguzi wa Kenya ndani ya Chadema zaidi ya mzee Lowassa?

Tusubiri muda tu mzee atakalia kiti cha uenyekiti mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

..ccm wamelazimishwa na nani kuunga mkono upinzani Kenya?

..kwanini hawakuunga mkono chama tawala Jubilee?

..ukisikiliza hotuba za kampeni za Raila ni sawa na kuwasikiliza UV-CCM.
 
tumeshajua chadema mmeshinda uchaguzi kenya ila ushindi wenu utaishia mpakani namanga na sirari
 
Wakenya wanapenda democracia wawe huru, Uhuru atafanya wakenya kuwa huru, uhuru wa kuongea, kukosoa, kusikilizwa, kushirikishwa, sababu Uhuru is a smart and mature Guy.Hongera uhuru,wewe ni mfano wa demokrasia kiongozi ni mtumishi wa wengi, na si mtawala wa wengi, utaishi miyooni mwa watu hata ukimaliza utumishi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nkurunziza


On behalf of all Burundians, I congratulate President elect @UKenyatta and the people of Kenya. Looking forward to strengthen our relations.
 
Mazezeta ya Ccm, mnajulikana na uko mko wengi sana.
Ushindi wa Uhuru ni psychological relief kwa chadema ila ukweli unabaki pale pale, hapa nyumbani JPM anaendeleza "bakora" kwa upinzano mpaka pawe pekundu. Anaendeleza kwa kuhakikisha watanzania tunazidi kumuumga mkono!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom