ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Hujawahi kunijibu.Hivi wew ni mkenya au mbongo? Sikuelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Kote kote nina asili kutokana na wazazi wangu,imagine watoto wa AY watachagua upande wakikua
Unawateteaga wakenya Sana na kuiponda Tz kama akina kamora na mwasat nikafikiri mkenyaKote kote nipo,mbn nimemjibu
Nasemaga ukweli ambao wewe na kundi lako wakina uchi boy hampendi kuusikia,wala akiwatetea nawapa credit wanapostahili tabia ya umalaika imezidi huku bongo si ajabu msema kweli ni mpenzi wa Mungu hapendi kuambiwa ukweli,by the way one of my parents is from KenyaUnawateteaga wakenya Sana na kuiponda Tz kama akina kamora na mwasat nikafikiri mkenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Kenya yenyew nao si uambie ukweli nao ? Ungekuwa unatetea upande woteNasemaga ukweli ambao wewe na kundi lako wakina uchi boy hampendi kuusikia,wala akiwatetea nawapa credit wanapostahili tabia ya umalaika imezidi huku bongo si ajabu msema kweli ni mpenzi wa Mungu hapendi kuambiwa ukweli,by the way one of my parents is from Kenya
Anachagua cha kusifia. Bahati mbaya sio kwa ukweliLeo tarehe 11 April 2019,Akiwa mji wa Makambako mheshimiwa Rais amekiri wazi kuwa hajawahi ona mji Tanzania uliopangwa na kuwa na nyumba bora za Makazi kama Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Ameomba mawaziri wakawaelimisha maeneo wanayotoka sehemu ya kujifunza nyumba bora ni Njombe
Yeye binafsi amekiri mkoa wake na mikoa mingi Tanzania hawaufikii mji wa Makambako
Ameshauri watu wakajifunze mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako
Hongereni Makambako
Kwakuwa anafurahisha domo lako kubwa lisilo na akili, bas.Kufahamika sio issue Sana . Wapo watu wakinga na watu wa nyanda za juu kusini wasiofahamika Wana pesa nyingi. Wakinga wanamiliki mpaka small industries China . Unavifahamu vifaa vya electronic Kwa nembo ya kodtec. Yule ni mkinga vifaa vinatengenezwa China vinasambazwa nchi mbalimbali. Kampuni ni nyingi za wakinga ukitaka nkutajie Hotels, gas and petrol , transportation. Tupo gateway ya Malawi , Congo na Zambia. Watu wanakampuni za usafirishaji Acha kabisa. Mabasi na semi trella
Sent using Jamii Forums mobile app
Hans Macha mchagga, ana stake ya 2% CRDB. Ndiye mweusi pekee mwenye uwekezaji mkubwa pale CRDB..wachaga walikuwa wanajisifia CRDB BANK inamilikiwa na Kimei kumbe uongo Kimei alikuwa amejiriwa kama mkurugenzi mkuu tu . siku alipostaafu wako kimya hawaizungumzii tena CRDB
Hahahahaa sawa mkuu, sasa sijui mpaka hiyo 2030 mi na we tutaonana wapiLakini kwa hizo biashara za mazao mumeshapigwa knock out,mnajihusisha na biashara za taaluma kwa vile mliwahi elimu lakini ndo watu wa njombe tunakuja nako,tuko kwenye makampuni ya usafirishaji pia,tukutane 2030 tutaangalia nani wanamiliki uchumi na je Kilimanjaro itakua juu ya njombe in terms of gdp? Nadhani umeona nafasi ya ufaulu wa fm 4 tulipo na tunavyuo kashaa njombe tunakuja kwa kasi sana
Huwa nawachana sema sio mara nyingi coz huku bongo ndo naishi ko niko familiar na mambo mengi ya huku kuliko kuleHiyo Kenya yenyew nao si uambie ukweli nao ? Ungekuwa unatetea upande wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf hatutafuti kuonana kwa sura,ucje kimbia maana jf inawasitiri wengiHahahahaa sawa mkuu, sasa sijui mpaka hiyo 2030 mi na we tutaonana wapi
Hao wachaga wa uru baada ya kushindwana na wahaya wamekimbilia njombe?Jf hatutafuti kuonana kwa sura,ucje kimbia maana jf inawasitiri wengi
Nyie Mh. Rais kawachana live pale Njombe nendeni mkajenge kwenu hahahahaha..Hao wachaga wa uru baada ya kushindwana na wahaya wamekimbilia njombe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie Mh. Rais kawachana live pale Njombe nendeni mkajenge kwenu hahahahaha..
Mi ni mjumbe tu, hayo majibu kampe Magufuli..Kwani yeye wahaya wanamhusu nini ? Si aliwatukanaga na Tetemeko lao.Magufuli hana nafasi yoyote uhayani na wala Bk haimuhusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani anapenda wachaga?Mi ni mjumbe tu, hayo majibu kampe Magufuli..
Hivi kwann Magufuli hawapendi wahaya?
Wewe endelea Tu kuhesabu Mali za wachaga wenzako.Kwakuwa anafurahisha domo lako kubwa lisilo na akili, bas.
Hans Macha mchagga, ana stake ya 2% CRDB. Ndiye mweusi pekee mwenye uwekezaji mkubwa pale CRDB..
Wakinga limenii viazi na vitunguu mtabaki kuwa wachuuzi tu
Mkuu sasa haya maswali mkamuulize Magu.. Afterall mnalalama hampendwi tangia enzi za Nyerere lakini CCM uhayani ni damu damuKwani anapenda wachaga?
Sio magufuli Tu hapendi wahaya.viongozi wote Tangu Nyerere.kuna kitu gani kizuri serikali ilishawahi kufanya Kagera? .
Eti wahaya mkajenge kwenu kwani Tanzania nzima kuna wahaya tu? Kwahiyo wahaya wakajenge stendi na soko ? Na meli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bukoba hakuna CCM pale .Mkuu sasa haya maswali mkamuulize Magu.. Afterall mnalalama hampendwi tangia enzi za Nyerere lakini CCM uhayani ni damu damu
Mhaya amshinde mchaga kwa lipi ? Labda umaskiniHao wachaga wa uru baada ya kushindwana na wahaya wamekimbilia njombe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jpm kasema ukweli wahaya huwa hawapendi kwao kama wachagaMkuu sasa haya maswali mkamuulize Magu.. Afterall mnalalama hampendwi tangia enzi za Nyerere lakini CCM uhayani ni damu damu