Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Habari!

Kwa habari zisizo rasmi inadaiwa kuwa rais wa sasa wa Tanzania Dr. Joseph Pombe Magufuli kuwa alitokea nchi jirani ya Rwanda na alikuja na mama yake mgogngoni wakikimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Alipofika mpakani mzee Magufuli alimpenda mama huyo ba mtoto wake ikabidi aishi nao na kuzaa watoto wengine wote wakawa kama familia moja.

Naomba uhamiaji watusaidie kujua baba, na bibi na babu zake za rais wa sasa wa nchi ni kina nani na asili yake ni wapi?

Jaman msinitukane ni kutaka kujua hata hao baba wadogo na wakubwa upande wa mama yake mzazi wako wapi?
Hii mada hii mada "hiiiii"
 
bibi yake kizaa mama ni mzaliwa wa misungwi ukoo wa ngwinga ng'olo. Babu yake kizaa mama anatokea misasi. Babu yake kizaa baba katokea salawi akahamia nyehunge baada ya ukame wa mwaka 1913 maarufu njaa ya ngozi. Vipi niongeze?
 
Habari!

Kwa habari zisizo rasmi inadaiwa kuwa rais wa sasa wa Tanzania Dr. Joseph Pombe Magufuli kuwa alitokea nchi jirani ya Rwanda na alikuja na mama yake mgogngoni wakikimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Alipofika mpakani mzee Magufuli alimpenda mama huyo ba mtoto wake ikabidi aishi nao na kuzaa watoto wengine wote wakawa kama familia moja.

Naomba uhamiaji watusaidie kujua baba, na bibi na babu zake za rais wa sasa wa nchi ni kina nani na asili yake ni wapi?

Jaman msinitukane ni kutaka kujua hata hao baba wadogo na wakubwa upande wa mama yake mzazi wako wapi?
Sikiliza kwa makini leo kwenye uzinduzi wa ukuta atakujibu kimtindo.
 
Nyie huwa ni BHANGI na mna laana HAPA MNACHO FANYA NI kutoa stress ZENU kwa njia ya kutukana na kutunga stori za KIBANGI BANGI...yaani hamna tofauti kabsa na HUYO DADA YENU.......ambaye kila SIKU NI KUTUNGA STORI mara ooh MTULILA yupo hoi...MARA SPIKA YUPO MAHUTUTI...mwisho wa siku ni uwongo uwongo kama mfanyavyo nyie hapa.......
MAGUFULI KAZALIWA MWAKA GANI???
Afu tuambie uo mwaka aliozaliwa kulikuwa na VITA GANI RWANDA?????
Hizi stori zenu kamwe hazitawapeleka IKULU.....
JIBU hoja co mapovu YANAKUTOKA utafikiri ujala wiki nzima. Kapokee sahani la ubwabwa kwa Bashite
 
Hiii ! Naona kama kuna vitu vinaunganisha hizi habari, Kiongozi alizaliwa 29/10/1959 na Rwanda kulikuwa na Vita kati ya mwaka 1951 mpaka 1961. Hivi vitu vinawezekana kabisa.
Screenshot_20180406-082058.jpg
 
Kazaliwa mwaka gani na vita ilikua mwaka gani? Mkiitwa nyumbu mnaenda mahakamani kupiga kelele
watoto wengi wanadhani vita ya rwanda ni ile ya kina kagame tu, mambo yalianza zamani 50 huko, kama hujui jinyamazie tu!
 
Nyie huwa ni BHANGI na mna laana HAPA MNACHO FANYA NI kutoa stress ZENU kwa njia ya kutukana na kutunga stori za KIBANGI BANGI...yaani hamna tofauti kabsa na HUYO DADA YENU.......ambaye kila SIKU NI KUTUNGA STORI mara ooh MTULILA yupo hoi...MARA SPIKA YUPO MAHUTUTI...mwisho wa siku ni uwongo uwongo kama mfanyavyo nyie hapa.......
MAGUFULI KAZALIWA MWAKA GANI???
Afu tuambie uo mwaka aliozaliwa kulikuwa na VITA GANI RWANDA?????
Hizi stori zenu kamwe hazitawapeleka IKULU.....
Kalizaliwa 29/10/1959 na Rwanda kulikuwa na Vita kati ya mwaka 1959 mpaka 1961. Sasa hapo mi nimekujibu maswali yako tu changanya na akili zako halafu utapata kujua hizo ni Bangi au kuna ka ukweli kidogo?
Screenshot_20180406-082058.jpg
 
Nyie huwa ni BHANGI na mna laana HAPA MNACHO FANYA NI kutoa stress ZENU kwa njia ya kutukana na kutunga stori za KIBANGI BANGI...yaani hamna tofauti kabsa na HUYO DADA YENU.......ambaye kila SIKU NI KUTUNGA STORI mara ooh MTULILA yupo hoi...MARA SPIKA YUPO MAHUTUTI...mwisho wa siku ni uwongo uwongo kama mfanyavyo nyie hapa.......
MAGUFULI KAZALIWA MWAKA GANI???
Afu tuambie uo mwaka aliozaliwa kulikuwa na VITA GANI RWANDA?????
Hizi stori zenu kamwe hazitawapeleka IKULU.....

Kama ulishangazwa na Uraia wa Jenerali Ulimwengu miaka ile , ukashtushwa na Uraia wa Hussein Bashe mwaka 2010 , unahuzunishwa na Uraia wa JPM subiri zamu yako itafika.
 
Nyie huwa ni BHANGI na mna laana HAPA MNACHO FANYA NI kutoa stress ZENU kwa njia ya kutukana na kutunga stori za KIBANGI BANGI...yaani hamna tofauti kabsa na HUYO DADA YENU.......ambaye kila SIKU NI KUTUNGA STORI mara ooh MTULILA yupo hoi...MARA SPIKA YUPO MAHUTUTI...mwisho wa siku ni uwongo uwongo kama mfanyavyo nyie hapa.......
MAGUFULI KAZALIWA MWAKA GANI???
Afu tuambie uo mwaka aliozaliwa kulikuwa na VITA GANI RWANDA?????
Hizi stori zenu kamwe hazitawapeleka IKULU.....
Kazaliwa 1959. Na mwaka huo ndio ilipotokea mapinduzi ya kwanza Rwanda wakimbizi wakakimbilia Tanzania na Uganda.
 
Nyie huwa ni BHANGI na mna laana HAPA MNACHO FANYA NI kutoa stress ZENU kwa njia ya kutukana na kutunga stori za KIBANGI BANGI...yaani hamna tofauti kabsa na HUYO DADA YENU.......ambaye kila SIKU NI KUTUNGA STORI mara ooh MTULILA yupo hoi...MARA SPIKA YUPO MAHUTUTI...mwisho wa siku ni uwongo uwongo kama mfanyavyo nyie hapa.......
MAGUFULI KAZALIWA MWAKA GANI???
Afu tuambie uo mwaka aliozaliwa kulikuwa na VITA GANI RWANDA?????
Hizi stori zenu kamwe hazitawapeleka IKULU.....
tupe historia yake, alizaliwa hospitali gani? Babu yake ni nani??

maana Nondo kaambiwa apeleke cheti cha kuzaliwa cha babu yake na bibi yake
 
Back
Top Bottom