Kasome historia ya Wahutu, watutsi na watwa enzi za ukoloni utajua kwann walikuwa wanahama, hata sisi maeneo ya huko kwetu miaka ya themanini na tisini walikuja Watusi wengi sana kulima vibarua na kufuga ng'ombeNyie huwa ni BHANGI na mna laana wakati mwingne na hizo....
MAGUFULI KAZALIWA MWAKA GANI???
Afu tuambie uo mwaka aliozaliwa kulikuwa na VITA GANI RWANDA?????
Hizi stori zenu kamwe hazitawapeleka IKULU.....
akili zako kama me.nde,miaka ya sitini mwanzoni kulikuwa pia na vitaDuuuh, kwahiyo magu amezaliwa miaka ya 90 maana mauaji yametokea miaka hiyo
Sasa na wewe hapo kuna Kashfa gani? Mtu kaomba kujua history ya Kiongozi wake, na kaelezea kuwa kuna tetesi ili kuondoa hizo tetesi ni vyema majibu yapatikane maisha ya endelee.Sasa mods uzi kama huu unamaana gani, na kwanini mnaruhusu uzi wa kashfa kwa kiongozi wa nchi kwa kiasi hiki
Umenikumbusha le mutuz!Mkuu ukipotezwa usimlaumu yoyote yule. Ukianza kutafuta undani wa watu utakuta hakuna Mtanzania.
Unajua kuwa Ivory Coast inalo kabila kama wagogo wa Dodoma?. Wanafanana kila kitu kwenye masuala ya mila.
NYIE MNA LAANA...hapa mnachofanya ni kuondoa stress zenu tu kwa njIa ya kutukana VIONGOZIHuyu Muhutu leo ngoja tumtolee uvivu
Habari!
Kwa habari zisizo rasmi inadaiwa kuwa rais wa sasa wa Tanzania Dr. Joseph Pombe Magufuli kuwa alitokea nchi jirani ya Rwanda na alikuja na mama yake mgogngoni wakikimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Alipofika mpakani mzee Magufuli alimpenda mama huyo ba mtoto wake ikabidi aishi nao na kuzaa watoto wengine wote wakawa kama familia moja.
Naomba uhamiaji watusaidie kujua baba, na bibi na babu zake za rais wa sasa wa nchi ni kina nani na asili yake ni wapi?
Mwenye laana ni yule anayeshabikia mtu anayetamani kuwa Malaika.NYIE MNA LAANA...hapa mnachofanya ni kuondoa stress zenu tu kwa njIa ya kutukana VIONGOZI
Laana zinapatikana kona mbali mbali mpk UHAMIAJINyie huwa ni BHANGI na mna laana HAPA MNACHO FANYA NI kutoa stress ZENU kwa njia ya kutukana na kutunga stori za KIBANGI BANGI...yaani hamna tofauti kabsa na HUYO DADA YENU.......ambaye kila SIKU NI KUTUNGA STORI mara ooh MTULILA yupo hoi...MARA SPIKA YUPO MAHUTUTI...mwisho wa siku ni uwongo uwongo kama mfanyavyo nyie hapa.......
MAGUFULI KAZALIWA MWAKA GANI???
Afu tuambie uo mwaka aliozaliwa kulikuwa na VITA GANI RWANDA?????
Hizi stori zenu kamwe hazitawapeleka IKULU.....
Abdul nondo mmetaka vyeti vya babu yke,nae huyo watu wanataka vyeti vya babu na bibi yke ili ngoma iwe drooHata Mkapa mlisema ni wa Msumbiji.
Nyerere mlisema ni mtusi.