Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Rais Magufuli: Mimi ni mzilankende muyango

Msitake kutuletea ujinga wenu katika kipindi mahususi ya kujenga nchi. Hata kama angekuwa hana asili na leo akaamua kuwa Tz na kutusaidia watanzania sie tunaona anatufaa. Hivi tukianza kutafuta mababu na mabibi hapa Jf atasalia nani?

It's ok to question other people's citizenship but not when it comes to Magufuli? Why?
 
Tutapiga kelele sana na muda mrefu nilishawahi kutamka hapa tuna mnyarwanda lakini kuna siku tutaelewana wakati akiwa keshasepa. Tatizo ukada umezidi kiasi cha kutia upofu huyu ni mtu ni nani! Muda utaongea wakati tumeshapata hasara
 
Mi kuna jamaa yangu mmoja ni msukuma lakin amekulia chato,aliniambia mimi yule jamaa namjua sana,hata yeye ananijua toka anasoma mpaka ni mwalimu,akanitajia hata dada yake anaitwa nani sijui(nimesahau sasa hivi maana kipindi kile sikumuwekea maanani).Akasema huyu bwana ni MSUBI
 
It's ok to question other people's citizenship but not when it comes to Magufuli? Why?
Mkuu ni vyema moderator wakatunza vizuri uzi huu na tuliochangia mungu atuweke hai mpaka siku hiyo litakaposanuka ili tuulizane vizuri
 
Mi kuna jamaa yangu mmoja ni msukuma lakin amekulia chato,aliniambia mimi yule jamaa namjua sana,hata yeye ananijua toka anasoma mpaka ni mwalimu,akanitajia hata dada yake anaitwa nani sijui(nimesahau sasa hivi maana kipindi kile sikumuwekea maanani).Akasema huyu bwana ni MSUBI
Issue hapa ni ndogo sana kama unawajua watoto wa baba yake mkubwa huyo anayedaiwa pombe anzia hapo kwanza watakwambia kitu
 
Mi kuna jamaa yangu mmoja ni msukuma lakin amekulia chato,aliniambia mimi yule jamaa namjua sana,hata yeye ananijua toka anasoma mpaka ni mwalimu,akanitajia hata dada yake anaitwa nani sijui(nimesahau sasa hivi maana kipindi kile sikumuwekea maanani).Akasema huyu bwana ni MSUBI
Mie niliwahi kuhakikishiwa kuwa ni msumbwa ila walifukuzwa usumbwani kwa kuwa mama alikataliwa na jamii kwa ajili ya matendo yake ambayo sitayataja hapa, wakahamia Chato.
 
Ana watoto watatu 1.doto
2.Oscar
halafu watatu humjui wakati hapo ushamtaja Doto yani umeshindwa hata kujiongeza kidogo
 
Mleta mada unataka kusema kuwa na yeye ni kama NONDO
Basi tusiulizane mambo hayo ya mababu sijui walitoka wapi wote sisi hapa ni wahamiaji tu
 
Back
Top Bottom