Matatizo yote haya ya uraia yanatokana na nchi yetu kuwa kama public toilet ,yeyote yule anaingia na kutoka na tatizo hili tutakuwa nalo hadi pale nchi itakapoamka na kuanza utaratibu wa kutoa LIFE BOOKS or IDs,hizi zina historia ya kila mtanzania kuanzia anapozaliwa hadi kufa kwake,wazazi wanapojaliwa kupata motto wanampa jina pale pale ili kumtambua na ndivyo nchi nayo ilitakiwa iwe hivyo,motto anapozaliwa tu kabla mama hajaruhusiwa ni lazima mtoto huyu awe amepewa jina na taifa(identification number) na tayari itakuwa na majina ya wazazi,kazaliwa wapi,afya yake wakati alipozaliwa,address yake n.k.anapokuwa anakuwa kinachofanyika ni kuongezea taarifa ndani ya ID yake elimu yake,kuolewa au kuowa,kuachika kwenye ndoa,n.k,please waziri wangu wa Mambo ya Ndani jaribu kufanya haya ingawa mimi binafsi nimeshakuona huna uwezo wa kuongoza wizara hii,pili my no 1 please tenganisha hii wizara tuwe na wizara ya mambo ya ndani na wizara ya police.