mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 46,334
- 57,155
Alianza mechi,kabla ya kuusoma mchezo.naona sasa mchezo ameuelewa.
Hilo linafanyiwa kazi na wale wataalamu wa IT kutoka Rwandwa. Kila shilingi itaonekana inapotoka mfukoni mwa mdanganyika na kuingia kwa Kaizari. Waziri ameshatuma wataalamu wake wakasaidie walevi kujenga viwanda vya gongo ili iwe bora na salama na kuwezesha serikali kukusanya mapato zaidi.Nashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu. Incompetency iko pale pale. Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale.
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim na pia serikali yake ilazimishe taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi ya kila wilaya na mkoa ziwekwe kwenye mitandao watu waone nini kimefanyika baada ya hizo pesa kukusanywa.
hahahaaaaaa! wanaaza kumnyoosha mshamba tu naye yuleNashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim na pia serikali yake ilazimishe taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi ya kila wilaya na mkoa ziwekwe kwenye mitandao watu waone nini kimefanyika baada ya hizo pesa kukusanywa.
Wewe vipi, huwezi kupiga push up 50 kwa mwendokasi kama afya ni mgogoro.Nashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu .....
Hapa Kazi Tu!
Mafuta yamieshaNashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim na pia serikali yake ilazimishe taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi ya kila wilaya na mkoa ziwekwe kwenye mitandao watu waone nini kimefanyika baada ya hizo pesa kukusanywa.
Hivi uchumi wa viwanda unakuja kwa kuhangaika na mnaowaita wachochezi?mjue sisi wananchisi tunataka tz ya viwanda hatutaki blah blah zenu.