Anauguliwa na mkewe.Ameona mnalalamika sana,kaona awalegezee kidogo mpumue kabla hajakaza nati tena..
Yule msukuma ni sheeda
Mkuu mchokozii, unaposema mafisadi bado yako mtaani unamaanisha yule 'Mgombea'!Nashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim na pia serikali yake ilazimishe taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi ya kila wilaya na mkoa ziwekwe kwenye mitandao watu waone nini kimefanyika baada ya hizo pesa kukusanywa.
Ukiona hivyo ujue mambo yameanza kunyooka,
Nashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim na pia serikali yake ilazimishe taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi ya kila wilaya na mkoa ziwekwe kwenye mitandao watu waone nini kimefanyika baada ya hizo pesa kukusanywa.
Nashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim na pia serikali yake ilazimishe taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi ya kila wilaya na mkoa ziwekwe kwenye mitandao watu waone nini kimefanyika baada ya hizo pesa kukusanywa.
Nashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim na pia serikali yake ilazimishe taarifa za mapato na matumizi ya kila mwezi ya kila wilaya na mkoa ziwekwe kwenye mitandao watu waone nini kimefanyika baada ya hizo pesa kukusanywa.
Hayo ni mawazo yako na hapo ni mwisho wako wa kufikiria.Katiba hii inampa maguvu Rais ya kufanya mengi,unadai wanaomzunguka Rais hawako nae moyoni,Rais ana sapoti ya sie watu wa chini na anapiga kazi kama kawaidaHapana mwanzo ilikuwa ni kimoto cha urais akadhani ukiwa rais basi mambo yanaenda tu. Sasa ameanza kuona uhalisia wa kazi ya urais ndio hapo hofu inaanza kumpata. Amekuta nchi ina deni la kutisha ns uwezo wa kulilipa ni mdogo, zile kelele za kutumbua kakuta yuko mwenyewe wanaomzunguka hawako naye moyoni zaidi ya midomoni (hao ndio haswa majipu) Pia amekuta ili aongoze nchi ni lazima aingie kwenye ushirikina kwani ndio maagano ya nchi hii.Hapa hasa ndio mtihani wake mkubwa.
Mapya ya kuzungusha mikono?Tuwasubiri CDM watakuja na mapya
Hayo ni mawazo yako na hapo ni mwisho wako wa kufikiria.Katiba hii inampa maguvu Rais ya kufanya mengi,unadai wanaomzunguka Rais hawako nae moyoni,Rais ana sapoti ya sie watu wa chini na anapiga kazi kama kawaida
Hivi uchumi wa viwanda unakuja kwa kuhangaika na mnaowaita wachochezi?mjue sisi wananchisi tunataka tz ya viwanda hatutaki blah blah zenu.Mnalalamika hakuna hela. Mnalalamika watu wanaonewa. Kwa taarifa yako spidi haijapungua ila vichwa ngumu ndio wamepungua. Wako wapi wale waandamanaji? Wako wapi waliokuwa wanatukana watu hadharani? Wako wapi waliokuwa wanakaa nyumba za NHC bure? Wako wapi waliokuwa wakipiga trafiki makofi? Wako wapi wale waliokuwa kila dakika wakituuliza'unanijua mimini nani" Umewasikia tena. Bado wachochezi wachache kama wewe na wenzako wachache ambao hata kinachowafanya mfanye uchochezi hamkifahamu