Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,825
- 71,280
TAG mmeshatoka kwenye kazi ya Mungu na kuwa kundi la ujasiriamali.WaTAG tumetulia tu wewe nani!? Na ni nani aliekupa ruhusa ya kuwa msemaji wetu!? Nani alikuteua kuwa msemaji wetu. Usalama wa Rais ni muhimu kuliko dhehebu....usidhani Rais kaja kupreside kama muumini ni Rais yule na ile ni taasisi ambayo ina miiko yake.
Mpaka unaongea humu unaongea kwa ruhusa ya Rais. Tulia wewe ni muumini mwenye vurugu kwenye social media halafu utulie au laah tutakuumbua siku sio nyingi.
Huwezi kuwa mnafiki, hukemei maovu ya watawala bali kuwasifu na kujikomba na ukabaki kuwa Watumishi wa Mungu wa kweli.
Nyie ni Wajasiriamali na mnalitumia kanisa la Kristo Yesu kwa manufaa maovu.
Namuomba Mungu awasaidie mrudi kwenye mstari