sudi ally hassan
Member
- Jun 18, 2016
- 24
- 11
no sawa watuletee na lesen za indiasijaona au kusikia hiyo hotuba ila kama ameomba hivo na kusahau viwanda vya tractor kubwa na power tiller kweli amekosea maana karibu watanzania 80% wapo involved kwenye kilimo ila ni kilimo kile kilichokuwa kinafanyika kabla ya kuzaliwa Kristo yaani jembe la mkono au ngombe!
Unapozungumzia mapinduzi ya viwanda bila mapinduzi ya kilimo na bure kabisa. ni sawa na kununua gari bila injini. Anyway sijui sera zake lakini sijawahi kumsikia akiweka msisitizo kwenye kilimo kama sekta zingine. Tanzania tunaweza kuwa soko kubwa sana la chakula kwa nchi zinazotuzunguka ambazo hawajitoshelezi kwa chakula kutokana na hali ya hewa mbaya au machafuko ya kisiasa. Ndoto hiyo inawezeweza kutimia endapo tuta mechanize kilimo chetu,,,jembe la mkono au ngombe halitaweza kutusaidia hata kujitosheleza sisi wenyewe kwa chakula!!!
leseni za nini??no sawa watuletee na lesen za india
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....
Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...
Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..
Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...
Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....
Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...
Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..
Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...
Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...
Nilicho Muona akisema mimi, kwenye taarifa ya habari kupitia Itv, ilikua ni viwanda vya dawa na vifaa tiba
Hili la mambo ya bajaj sijui n ibilis yuko kazini au ni kweli
Hahahahahhaah nimekuelewa vizuri sanaNadhani akili ilireflect zaidi kule kwao walikokuwa wanapendana baiskeli kuliko kitu chochote sasa wamehamia kwenye pikipiki
Watu wana-advance from bicycle to motorcycle.Hahahahahhaah nimekuelewa vizuri sana
Hahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahah sina la kuongeza u made my dayToo late my God sometimes can he keep quite and ask for nothing from thisbIndians.
Ebu jaribu kufikiri beyond enemy line.
Je unajua sekta nzima ya Bodaboda imetoa ajira nyingi kiasi gani?
Fikiria tena itakuaje iwapo serikali itapiga marufuku ajira hii.wangapi watakuwa jobless?
Am sick and tired to deal with people of your type.
Hapa kazi tu.
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....
Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...
Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..
Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...
Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...
Hata angeomba matrekta na madawa vado mngemlaumu tu mgesema anatembeza bakuli,ngulumbili hawana shukrani kabisaJana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....
Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...
Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..
Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...
Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...
Anataka kumakiza vijana viungo bodaboda walipigia kura ukawaJana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....
Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...
Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..
Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...
Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...