Rais Magufuli kateleza kuomba viwanda vya pikipiki na Bajaji; tulitakiwa kuomba za dawa au Trekta

sijaona au kusikia hiyo hotuba ila kama ameomba hivo na kusahau viwanda vya tractor kubwa na power tiller kweli amekosea maana karibu watanzania 80% wapo involved kwenye kilimo ila ni kilimo kile kilichokuwa kinafanyika kabla ya kuzaliwa Kristo yaani jembe la mkono au ngombe!
Unapozungumzia mapinduzi ya viwanda bila mapinduzi ya kilimo na bure kabisa. ni sawa na kununua gari bila injini. Anyway sijui sera zake lakini sijawahi kumsikia akiweka msisitizo kwenye kilimo kama sekta zingine. Tanzania tunaweza kuwa soko kubwa sana la chakula kwa nchi zinazotuzunguka ambazo hawajitoshelezi kwa chakula kutokana na hali ya hewa mbaya au machafuko ya kisiasa. Ndoto hiyo inawezeweza kutimia endapo tuta mechanize kilimo chetu,,,jembe la mkono au ngombe halitaweza kutusaidia hata kujitosheleza sisi wenyewe kwa chakula!!!
no sawa watuletee na lesen za india
 
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....

Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...

Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..

Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...

Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...

Ebu jaribu kufikiri beyond enemy line.
Je unajua sekta nzima ya Bodaboda imetoa ajira nyingi kiasi gani?

Fikiria tena itakuaje iwapo serikali itapiga marufuku ajira hii.wangapi watakuwa jobless?

Am sick and tired to deal with people of your type.

Hapa kazi tu.
 
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....

Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...

Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..

Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...

Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...

Nikweli, angeongezea light/heavy trucks assembly bila kusahau kijiji cha ICT. Bajaj wa-import tu, cha angeweka msisitizo kwenye sekta ya kumanfacture solar cell Panels, invertors na deep cycle batteries vyote hivyo vinatumika kwenye mfumo wa solar - huu umeme A Grid utachukua muda sana kufikia kila kaya nchini - mkombozi ni umeme jua tatizo initial costs ni kubwa mno.
 
Nilicho Muona akisema mimi, kwenye taarifa ya habari kupitia Itv, ilikua ni viwanda vya dawa na vifaa tiba

Hili la mambo ya bajaj sijui n ibilis yuko kazini au ni kweli

Sasa mleta mada kwa nini analeta taarifa za kutunga - sisi watu wa ajabu wakati mwingine.
 
kumbe ndio viwanda alivyomaanisha ?!
kweli Tanzania ya viwanda..
ngoja nikatafute kerosine nitarudi..
 
Ebu jaribu kufikiri beyond enemy line.
Je unajua sekta nzima ya Bodaboda imetoa ajira nyingi kiasi gani?

Fikiria tena itakuaje iwapo serikali itapiga marufuku ajira hii.wangapi watakuwa jobless?

Am sick and tired to deal with people of your type.

Hapa kazi tu.
:(:(:( naona watu wanalitafsiri hili neno la hapa kazi tuu vibaya.Sasa hiyo nguvu kazi inayokufa kila siku kwa bodaboda ndo ziongezwe kisa ajira wakati hazipo walikua wanafanya nini?usishabikie kimahaba huko kwao hizo toyo zimesaidia nini ?viwanda ndo vinatoa ajira zenye risk ndogo sasa toyo tena si shughuli.
 
Vyovyote ilivyo, kama mheshimiwa aliahidi serikali yake itakuwa ya viwanda halafu anakaa hapa mpaka viongozi wa nje waje ndio awaombe wajenge hivyo viwanda itabidi tusubiri sana. Vinginevyo labda angekuwa anatembelea mataifa makubwa labda ingewezekana kuwashawishi hao wawekezaji Haiwezekani wewe ukae tu kwako huna mipango yoyote aje mgeni kwa utaratibu wake wewe ndipo uombe msaada. Je kama asingekuja hayo maombi yangejulikana vipi?
 
Agro
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....

Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...

Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..

Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...

Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...

Tatizo kubwa la nchi hii ni export ya raw materials badala ya finished goods. Tuna- export mbao badala fanicha, pamba badala ya nguo, bulk black tea badala ya packed blended teas, matunda badala ya juice, madini badala ya vidani, mahindi badala ya unga, ngozi bdala ya viatu,mkoba, mabegi n.k n,k. Kwa hiyo priority yetu inatakiwa kuwa value additional factories haya megine yatakuja baada ya uchumi kupata multiplier effect ya viwanda hivi
 
Priorities za Magufuli kwa kweli zinanipa wasiwasi kama tutafanikiwa huko mbele.

Imagine, kununua Ndege za ATC badala ya kuwekeza kwenye kilimo!! Kufufua General Tyre badala ya kufufua viwanda vya korosho!!
 
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....

Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...

Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..

Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...

Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...
Hata angeomba matrekta na madawa vado mngemlaumu tu mgesema anatembeza bakuli,ngulumbili hawana shukrani kabisa
 
Jana Rais Magufuli alimuomba Waziri Mkuu wa India aanzishe viwanda "assembling centre" za pikipiki na bajaji. Nafkiri ni vyema angeeomba zaidi katika eneo la dawa au trekta....

Dawa nyingi zinazotumika nchini zinatoka India, na ni bei ghali sana. Sasa ingekuwa vyema kama tukipata uzalishaji hapa, ingesaidia kupunguza gharama na zingepatikana kwa wingi...

Pili, kwenye eneo la trekta, lingesaidia wakulima wengi kupata matrekta kwa uraisi na pengine kwa bei nafuu na kupelekea kukua kwa kilimo..

Ila binafsi, pamona na kwamba Mimi ni mfuasi Mkubwa wa Rais Magufuli, naona sio sahihi kuomba assembling centre za pikipiki. Pikipiki ni janga kwa vijana, inauwa vijana wengi sana, inapelekea vijana wengi sana kuwa walemavu, ingawa kwa upande mwingine ni chanzo cha kipato kwa vijana wengi...

Kama hatujaweka mikakati madhubuti ya kuwasadia waendesha bodaboda sio sahihi kwa sasa kuomba assembling centre. Tungeanza na kuomba centre za dawa na trekta kutoma India...
Anataka kumakiza vijana viungo bodaboda walipigia kura ukawa
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom